peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Waziri Juma Aweso amekuwa akitangazia Umma wa watanzania kupatiwa mita Za Luku Za maji.
Watanzania wenye meta hizo tukutana hapa.
Watanzania wenye meta hizo tukutana hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau kutupia tupicha picha,🤔Waziri Juma Aweso amekuwa akitangazia Umma wa watanzania kupatiwa meta Za Luku Za maji.
Watanzania wenye meta hizo tukutana hapa
Kipara Hana kitu yuleLabda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi?
lipa maji kadiri unavyotumia. kwahio mita zitaitwa za LMKUKama ni Maji,jina haliwezi baki hivyo, kwa kuwa kirefu cha LUKU ni
L-Lipa
U-Umeme
K-Kadili
U-unavyotumia
Labda ungesema tunaotumia mita za Maji za Prepaid, tukutane..
Asante
😅😅😅😅, jamaa unakumbukumbu sana, mimi nilikuwa nimeshasahau. Labda kwakuwa bwana Kipala alitolewaLabda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi?