Watanzania wanaotumia mita za luku za maji tukutane hapa

Watanzania wanaotumia mita za luku za maji tukutane hapa

Kama ni Maji,jina haliwezi baki hivyo, kwa kuwa kirefu cha LUKU ni
L-Lipa
U-Umeme
K-Kadili
U-unavyotumia

Labda ungesema tunaotumia mita za Maji za Prepaid, tukutane..
Asante
lipa maji kadiri unavyotumia. kwahio mita zitaitwa za LMKU
 
Back
Top Bottom