peno hasegawa JF-Expert Member Joined Feb 24, 2016 Posts 14,255 Reaction score 23,949 Jan 22, 2023 #1 Waziri Juma Aweso amekuwa akitangazia Umma wa watanzania kupatiwa mita Za Luku Za maji. Watanzania wenye meta hizo tukutana hapa.
Waziri Juma Aweso amekuwa akitangazia Umma wa watanzania kupatiwa mita Za Luku Za maji. Watanzania wenye meta hizo tukutana hapa.
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Jan 22, 2023 #2 peno hasegawa said: Waziri Juma Aweso amekuwa akitangazia Umma wa watanzania kupatiwa meta Za Luku Za maji. Watanzania wenye meta hizo tukutana hapa Click to expand... Bila kusahau kutupia tupicha picha,π€
peno hasegawa said: Waziri Juma Aweso amekuwa akitangazia Umma wa watanzania kupatiwa meta Za Luku Za maji. Watanzania wenye meta hizo tukutana hapa Click to expand... Bila kusahau kutupia tupicha picha,π€
Cash Generating Unit JF-Expert Member Joined Jan 12, 2019 Posts 13,286 Reaction score 39,418 Jan 22, 2023 #3 Labda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi?
Labda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi?
Mtalebani Mweupe JF-Expert Member Joined Mar 12, 2020 Posts 547 Reaction score 632 Jan 22, 2023 #4 Champagnee said: Labda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi? Click to expand... Kipara Hana kitu yule
Champagnee said: Labda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi? Click to expand... Kipara Hana kitu yule
Muhumba wa Mukinyaa JF-Expert Member Joined Nov 12, 2022 Posts 683 Reaction score 1,251 Jan 22, 2023 #5 Kama ni Maji,jina haliwezi baki hivyo, kwa kuwa kirefu cha LUKU ni L-Lipa U-Umeme K-Kadili U-unavyotumia Labda ungesema tunaotumia mita za Maji za Prepaid, tukutane.. Asante
Kama ni Maji,jina haliwezi baki hivyo, kwa kuwa kirefu cha LUKU ni L-Lipa U-Umeme K-Kadili U-unavyotumia Labda ungesema tunaotumia mita za Maji za Prepaid, tukutane.. Asante
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 70,785 Reaction score 186,690 Mar 9, 2025 #6 Muhumba wa Mukinyaa said: Kama ni Maji,jina haliwezi baki hivyo, kwa kuwa kirefu cha LUKU ni L-Lipa U-Umeme K-Kadili U-unavyotumia Labda ungesema tunaotumia mita za Maji za Prepaid, tukutane.. Asante Click to expand... lipa maji kadiri unavyotumia. kwahio mita zitaitwa za LMKU
Muhumba wa Mukinyaa said: Kama ni Maji,jina haliwezi baki hivyo, kwa kuwa kirefu cha LUKU ni L-Lipa U-Umeme K-Kadili U-unavyotumia Labda ungesema tunaotumia mita za Maji za Prepaid, tukutane.. Asante Click to expand... lipa maji kadiri unavyotumia. kwahio mita zitaitwa za LMKU
K Kadoone Senior Member Joined Sep 1, 2015 Posts 138 Reaction score 109 Mar 9, 2025 #7 Cash Generating Unit said: Labda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi? Click to expand... π π π π , jamaa unakumbukumbu sana, mimi nilikuwa nimeshasahau. Labda kwakuwa bwana Kipala alitolewa
Cash Generating Unit said: Labda za mchongo, hivi suala la ukinunua luku moja kwa moja umeme unawaka bila kujaza token liliishia wapi? Click to expand... π π π π , jamaa unakumbukumbu sana, mimi nilikuwa nimeshasahau. Labda kwakuwa bwana Kipala alitolewa