Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa hapo jamaa anakiri kwamba ile tu kucheza na Senegal na kufungwa mbili ni ushindi mkubwa, ni kama unayepigana na bouncer, hiyo kweli maana kuna kipindi Tanzania ilipigwa mabao saba na nafikiri ilikua Algeria hao waliotupiga mbili.
Lakini mimi sitajifariji kwa upuzi wa mediocrity, kwani wale ndio kina nani, timu ikienda kwenye ushindani iende kwa nia ya kushinda sio kupunguza au kupangua mapigo, eti hatukupigwa sana.
Mmhh embu tulie usome ulicho andikaNimependa hapo jamaa anakiri kwamba ile tu kucheza na Senegal na kufungwa mbili ni ushindi mkubwa, ni kama unayepigana na bouncer, hiyo kweli maana kuna kipindi Tanzania ilipigwa mabao saba na nafikiri ilikua Algeria hao waliotupiga mbili.
Lakini mimi sitajifariji kwa upuzi wa mediocrity, kwani wale ndio kina nani, timu ikienda kwenye ushindani iende kwa nia ya kushinda sio kupunguza au kupangua mapigo, eti hatukupigwa sana.
Nimependa hapo jamaa anakiri kwamba ile tu kucheza na Senegal na kufungwa mbili ni ushindi mkubwa, ni kama unayepigana na bouncer, hiyo kweli maana kuna kipindi Tanzania ilipigwa mabao saba na nafikiri ilikua Algeria hao waliotupiga mbili.
Lakini mimi sitajifariji kwa upuzi wa mediocrity, kwani wale ndio kina nani, timu ikienda kwenye ushindani iende kwa nia ya kushinda sio kupunguza au kupangua mapigo, eti hatukupigwa sana.
Hehehehe, Sasa mbona unajichanganya mzee, soma tena ulivyoanza na ulivyomaliza[emoji2][emoji2][emoji2]
Hivi We ni Mkenya au Mtanzania?Nimependa hapo jamaa anakiri kwamba ile tu kucheza na Senegal na kufungwa mbili ni ushindi mkubwa, ni kama unayepigana na bouncer, hiyo kweli maana kuna kipindi Tanzania ilipigwa mabao saba na nafikiri ilikua Algeria hao waliotupiga mbili.
Lakini mimi sitajifariji kwa upuzi wa mediocrity, kwani wale ndio kina nani, timu ikienda kwenye ushindani iende kwa nia ya kushinda sio kupunguza au kupangua mapigo, eti hatukupigwa sana.