Watanzania wanapikia kuni na mkaa kwasababu ya umasikini, sio kwamba hawana elimu ya mitungi ya gesi

Watanzania wanapikia kuni na mkaa kwasababu ya umasikini, sio kwamba hawana elimu ya mitungi ya gesi

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
"Systemic problems requires systemic solutions"

Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi aliye kulia kwenye mazingira ya kimasikini kama watanzania wengi, anakuwa na uwezo wa ku 'sympathize' na matatizo yao.

Sasa hawa vijana waliokulia kwenye majumba ya serikali huku familia zao zikilipiwa kila kitu ni kama hawaelewi struggles za wananchi wenzao.

Unadhani kuna mtu anapenda kupikia kuni??? Unadhani kuna mtu anapenda kufanya kazi ya mama nitilie barabarani? Unadhani kuna mtu anapenda kufanya umachinga?

Watu wanafanya haya kwasababu ya umasikini. Hauwezi kuyatatua haya matatizo kwa kufanya maonesho na kutoa elimu ya 'matumizi ya gesi majumbani'.

Kila mtu angependa kupikia gesi, hawapikii kwakuwa hawana uwezo wa kumudu hizo gharama. Tuache kuwadhihaki watu kwa mambo ya ajabu ajabu.

A systemic solution is to eradicate/ reduce poverty. Au ifanye gesi iwe bei nafuu kiasi kwamba watu wasiwe na sababu ya kutaka kutumia kuni/mkaa. Watu wata switch wenyewe kwenda kupikia hizo gesi.
 
"Systemic problems requires systemic solutions"

Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi aliye kulia kwenye mazingira ya kimasikini kama watanzania wengi, anakuwa na uwezo wa ku 'sympathize' na matatizo yao.

Sasa hawa vijana waliokulia kwenye majumba ya serikali huku familia zao zikilipiwa kila kitu ni kama hawaelewi struggles za wananchi wenzao.

Unadhani kuna mtu anapenda kupikia kuni??? Unadhani kuna mtu anapenda kufanya kazi ya mama nitilie barabarani? Unadhani kuna mtu anapenda kufanya umachinga?

Watu wanafanya haya kwasababu ya umasikini. Hauwezi kuyatatua haya matatizo kwa kufanya maonesha na kutoa elimu ya 'matumizi ya gesi majumbani'.

Kila mtu angependa kupikia gesi, hawapikii kwakuwa hawana uwezo wa kumudu hizo gharama. Tuache kuwadhihaki watu kwa mambo ya ajabu ajabu.

A systemic solution is to eradicate/ reduce poverty. Watu wata switch wenyewe kwenda kupikia hizo gesi.
uko sahihi kwa 100% halafu kwanini 57trillion cubic feet ya gas yetu wamewapa wazungu????? Kijani ni msalaiti wa Taifa hili, leo gas ingukuwa inauzwa kwa sh 5000 mtungi mdogo
 
Hivi wasomi, watafiti, vyuo vya teknolojia na serikali kwa ujumla wameshindwa kupata njia ya kuupooza mkaa wa mawe uliojaa nchini ukatumika kupikia?
Kama hatuna akili na maarifa hayo kwa nini tusiwaite Wachina watusaidie.
Fikiria maelfu ya miti inayokatwa kukausha tumbaku kila Mwaka😭
 
Rostam analeta mzaha kwa watanzania
halafu unakuta Waziri badala ya kufanya kazi ya kutatua kero za wanachi kwenywe wizara ana promote private property ,anatembea na mitunga ya gas vijijini usiku ,machana alimradi apate chochote 10%kijani jamaani mtuhurumie ,umeme unakatika ,operation hospitalini zinafanyika kwa Generator ikipata hitilafu tumpoteza mgonjwa halafu mnasema kijani kidumu , sijui tunaupiga nwingi ,is true mnaupiga mwingi tumboni ....
 
halafu unakuta Waziri badala ya kufanya kazi ya kutatua kero za wanachi kwenywe wizara ana promote private property ,anatembea na mitunga ya gas vijijini usiku ,machana alimradi apate chochote 10%kijani jamaani mtuhurumie ,umeme unakatika ,operation hospitalini zinafanyika kwa Generator ikipata hitilafu tumpoteza mgonjwa halafu mnasema kijani kidumu , sijui tunaupiga nwingi ,is true mnaupiga mwingi tumboni ....
Hapo unakuta amewekewa kama 5B ya promotion na ahadi kibao
 
Hivi wasomi, watafiti, vyuo vya teknolojia na serikali kwa ujumla wameshindwa kupata njia ya kuupooza mkaa wa mawe uliojaa nchini ukatumika kupikia?
Kama hatuna akili na maarifa hayo kwa nini tusiwaite Wachina watusaidie.
Fikiria maelfu ya miti inayokatwa kukausha tumbaku kila Mwaka[emoji24]
Mkuu hata utafiti ukipelekwa Serikalini unaishia kuwekwa Kabatini.
Tatizo viongozi wa Nchi hii hawana maono na wala hawashauriki.
 
Dhana ya kuwa kupikia kuni na mkaa ni umasikini ni potofu na danganyifu.

Iwe ni Gesi, Mkaa, Kuni Makaa ya mawe yote haya hutengeneza Nishati.

Sasa kumuita mtu masikini kwa sababu anatumia Kuni au Mkaa(nishati) ni Matusi.

Leo hii, Ulaya na Marekani karibia kila nyumba hutumia mkaa na kuni. Wanatumia mkaa kuchoma nyama na vitoweo vingine, wanatumia kuni kuoka moto na kufukizia mbu na wadudu wengine uwani mwa nyumba zao! Leo hii hii ukiuliza masikini wakoje kati ya menhi yanayosemwa, unaambiwa....ati wanaotumia kuni mkaa nao ni masikini! Ebo....

Na kwa mantiki hiyo ina maana Ulaya na Marekani kuna masikini wengi tu kuliko tunavyoaminishwa hapa. Yaani pamoja na elimu yao, pamoja na kuwa na nishati zingine bado wanatumia Kuni na Mkaa....Je ni Wapuuzi tu? Manake utumiaji wao wa kuni na mkaa ni dhahiri elimu waliyokuwa nayo haiwafanyi wasiwe masikini!

Tuache kudanganyana na kupotoshana ilimradi tunafanyia kampeni za masoko, utumiaji wa Gesi.
 
"Systemic problems requires systemic solutions"

Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi aliye kulia kwenye mazingira ya kimasikini kama watanzania wengi, anakuwa na uwezo wa ku 'sympathize' na matatizo yao.

Sasa hawa vijana waliokulia kwenye majumba ya serikali huku familia zao zikilipiwa kila kitu ni kama hawaelewi struggles za wananchi wenzao.

Unadhani kuna mtu anapenda kupikia kuni??? Unadhani kuna mtu anapenda kufanya kazi ya mama nitilie barabarani? Unadhani kuna mtu anapenda kufanya umachinga?

Watu wanafanya haya kwasababu ya umasikini. Hauwezi kuyatatua haya matatizo kwa kufanya maonesho na kutoa elimu ya 'matumizi ya gesi majumbani'.

Kila mtu angependa kupikia gesi, hawapikii kwakuwa hawana uwezo wa kumudu hizo gharama. Tuache kuwadhihaki watu kwa mambo ya ajabu ajabu.

A systemic solution is to eradicate/ reduce poverty. Au ifanye gesi iwe bei nafuu kiasi kwamba watu wasiwe na sababu ya kutaka kutumia kuni/mkaa. Watu wata switch wenyewe kwenda kupikia hizo gesi.
Watanzania wananuka UMASIKINI
 
uko sahihi kwa 100% halafu kwanini 57trillion cubic feet ya gas yetu wamewapa wazungu????? Kijani ni msalaiti wa Taifa hili, leo gas ingukuwa inauzwa kwa sh 5000 mtungi mdogo
Mzungu gani aloyepewa?
Na anaipeleka wapi hiyo gesi huyo mzungu?
 
Back
Top Bottom