Watanzania wanaumizwa na tozo za kikatili na dhuluma

Watanzania wanaumizwa na tozo za kikatili na dhuluma

kitimtim

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,783
Reaction score
2,273
Ulipe kodi kwenye kila bidhaa unayonunua- hiyo SAWA
Ukatwe Kodi (PAYE) toka kwenye mshahara - Hiyo SAWA

Hiyo hiyo pesa uliyonilipa mshahara na kodi yako umesha nikata, unaniwekea benki, nikienda kuichukua bado unaifata tena unaikata TOZO- HII SI SAWA.

KUNA BIASHARA GANI AMBAYO IMETOA FAIDA HAPO HADI UCHUKUE TENA FEDHA YANGU, (kumbuka benki nayo wamekata pesa ya kuku hudumia na kodi ya serikali humo humo), bado pesa hiyo hiyo ukinunua chochote serikali anakuongezea bei 18% anachukua.

Pesa hiyo hiyo ambayo ulishalipa kodi wakati anakulipa mshahara, ukiamua kumtumia babu,bibi,baba,mama kijijini ili ziwasadie, serikali anakata kodi na Tozo wakati wa kutuma, na wazee wasio na uwezo tena akipokea kule kijijini serikali tena ana mkata kodi na tozo huyo babu au bibi anayepokea.

SASA KUNA BIASHARA GANI IMEFANYIKA KWA MTUMAJI NA MPOKEAJI? NI UKATILI WA KIMADARAKA, ETI WEWE MWIGULU NCHEMBA? UNAJIITA PhD WEWE?

TUNA ENDELEA KUMWACHIA MUNGU
 
Maisha yanazidi kuwa magumu sio tozo tuu kuna taasisi kibao sanasana zile za mafao ndio hakufai kabisa. Katiba Mpya ni muhimu sana!
 
Ulipe kodi kwenye kila bidhaa unayonunua- hiyo SAWA
Ukatwe Kodi (PAYE) toka kwenye mshahara - Hiyo SAWA

Hiyo hiyo pesa uliyonilipa mshahara na kodi yako umesha nikata, unaniwekea benki, nikienda kuichukua bado unaifata tena unaikata TOZO- HII SI SAWA.

KUNA BIASHARA GANI AMBAYO IMETOA FAIDA HAPO HADI UCHUKUE TENA FEDHA YANGU, (kumbuka benki nayo wamekata pesa ya kuku hudumia na kodi ya serikali humo humo), bado pesa hiyo hiyo ukinunua chochote serikali anakuongezea bei 18% anachukua.

Pesa hiyo hiyo ambayo ulishalipa kodi wakati anakulipa mshahara, ukiamua kumtumia babu,bibi,baba,mama kijijini ili ziwasadie, serikali anakata kodi na Tozo wakati wa kutuma, na wazee wasio na uwezo tena akipokea kule kijijini serikali tena ana mkata kodi na tozo huyo babu au bibi anayepokea, SASA KUNA BIASHARA GANI IMEFANYIKA KWA MTUMAJI NA MPOKEAJI? NI UKATILI WA KIMADARAKA, ETI WEWE MWIGULU NCHEMBA? UNAJIITA PHD WEWE?

TUNA ENDELEA KUMWACHIA MUNGU
Mtajaza seva za jf lakini hakuna kitakachobadilika na tozo mtatoa.
 
Ulipe kodi kwenye kila bidhaa unayonunua- hiyo SAWA
Ukatwe Kodi (PAYE) toka kwenye mshahara - Hiyo SAWA

Hiyo hiyo pesa uliyonilipa mshahara na kodi yako umesha nikata, unaniwekea benki, nikienda kuichukua bado unaifata tena unaikata TOZO- HII SI SAWA.

KUNA BIASHARA GANI AMBAYO IMETOA FAIDA HAPO HADI UCHUKUE TENA FEDHA YANGU, (kumbuka benki nayo wamekata pesa ya kuku hudumia na kodi ya serikali humo humo), bado pesa hiyo hiyo ukinunua chochote serikali anakuongezea bei 18% anachukua.

Pesa hiyo hiyo ambayo ulishalipa kodi wakati anakulipa mshahara, ukiamua kumtumia babu,bibi,baba,mama kijijini ili ziwasadie, serikali anakata kodi na Tozo wakati wa kutuma, na wazee wasio na uwezo tena akipokea kule kijijini serikali tena ana mkata kodi na tozo huyo babu au bibi anayepokea, SASA KUNA BIASHARA GANI IMEFANYIKA KWA MTUMAJI NA MPOKEAJI? NI UKATILI WA KIMADARAKA, ETI WEWE MWIGULU NCHEMBA? UNAJIITA PHD WEWE?

TUNA ENDELEA KUMWACHIA MUNGU
Wametengeneza tatizo ili kulitatua wenyewe. Watakapolitatua ili muone serikali inawajali kumbe ni kiini macho na kuna watu fulani wasiojielewa watashangilia na kuanza kuisifu na kuiabudu serikali
 
Phd ya mchongo, hamna kitu kwenye kufikiri na kutoa ushawishi
 
Toka 2009 ni kulialia , mchongo ni kuamka , kutoka mafichoni haki kuipigania, Tanzania ya mama samia nchi tozonia.

Hakika ninawaambia endeleeni kulialia, mwisho wa siku mtazoea.

Mimi ni wa hovyo.
 
Phd ya mchongo, hamna kitu kwenye kufikiri na kutoa ushawishi
Eti anajisifia ni Daktari wa uchumi!!! Kuna watu wana utani aisee!! Bora hata Waziri wa hiyo Wizara angekuwa Joseph Kasheku "Msukuma" walau angekuwa na tija! Ila siyo huyu mjivuni.
 
Back
Top Bottom