Watanzania wanaumizwa na tozo za kikatili na dhuluma

Watanzania wanaumizwa na tozo za kikatili na dhuluma

Samia endelea kutukanda mpaka tukandike.
Yaani ifike hatua mtu akisikia jina lako anawahi chooni kuharisha.
 
Kuna uonevu mkubwa unafanywa na Serikali kiasi cha kufika kiwango cha kutovumilika zaidi ya kujiongeza kama watanzania.

Double taxation ni kitu hakiruhusiwi kwa mujibu wa sheria za kodi.

Mtumishi wa umma ndo limekuwa jalala sasa, ulipe PAYE, KODI, VAT, TOZO....Tusiseme wote sioo watumishi ila kuna ndugu zetu....ni watumishi...
Wao hawajalii kabisaa ni kutukamua tu...mita za umeme, vocha, bando, dukani kwa mangi.

Anzisha biashara sasa uone hiyo kupelekewaa moto....TRA, LESENI, TAKA, OSHA....yaani ukiritimba kila sehem.

Nauliza tuandamane muda huu au tusubili sensa ya watu na makazi iishee....tumechokaaaaa.

Nchi za wenzetu umeme kukatika tu wanaiwajibisha serikali, Watanzania tutalala mpaka lini....??

Mafuta ya kula juu, chakula juu, mfumko wa bei juu, kila kitu unaenda dukani leo kinauzwa bei hii ukirudi kesho bei imebadilika mpaka lini hayaaa???

Naomba kuwasilisha
 
Mwl Nyerere alisema, ukiona msomi anatendewa jambo la kijinga bila kuhoji, ujue taifa linatengeneza wasomi wajinga.
 
Kuna uonevu mkubwa unafanywa na Serikali kiasi cha kufika kiwango cha kutovumilika zaidi ya kujiongeza kama watanzania.

Double taxation ni kitu hakiruhusiwi kwa mujibu wa sheria za kodi.

Mtumishi wa umma ndo limekuwa jalala sasa, ulipe PAYE, KODI, VAT, TOZO....Tusiseme wote sioo watumishi ila kuna ndugu zetu....ni watumishi...
Wao hawajalii kabisaa ni kutukamua tu...mita za umeme, vocha, bando, dukani kwa mangi.

Anzisha biashara sasa uone hiyo kupelekewaa moto....TRA, LESENI, TAKA, OSHA....yaani ukiritimba kila sehem.

Nauliza tuandamane muda huu au tusubili sensa ya watu na makazi iishee....tumechokaaaaa.

Nchi za wenzetu umeme kukatika tu wanaiwajibisha serikali, Watanzania tutalala mpaka lini....??

Mafuta ya kula juu, chakula juu, mfumko wa bei juu, kila kitu unaenda dukani leo kinauzwa bei hii ukirudi kesho bei imebadilika mpaka lini hayaaa???

Naomba kuwasilisha
Imekuwaa tooo much, ukiulizaa mtu anajibu kijeurii hamia Burundi kwa hii nchi ni ya wakina nan??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom