Watanzania wanaweza kufanya ujasiri wa huyu mama?

tatum

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
5,786
Reaction score
4,491

Mmiliki wa gari la matatu huko Meru Kenya ambamo mama na mwanawe walinyanyaswa na kulazimishwa kushuka kwa kupinga hatua ya kondakta kuongeza abiria kwa gari lililokuwa limejaa amefikishwa mahakamai na kufunguliwa mashtaka

Je watanzania wanaiweza hiyo?
 
Nyuzi ilikuwa ni nzuri lkn umeiharibu kwa udhaifu wako wa kijinga kutaka kuilinganisha na Tanzania let me tell you matukio kama hayo tz sio habari

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Ni bora angesema hivyo ndivyo inavyotakiwa kwa akina Mama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ndio wanavyotakiwa Wafanye kwa Sababu Burundi inaongoza kwa Unyanyasaji wa Wanawake.
 
Kitu ambacho konda atakosea ajutie maisha yake yote ni kumnyanyasa abilia wa kike kwenye daladala.bora hata fanyie wa kiume atapewa uvumilivu kidogo.

Bongo watu sio agressive,ila wakiamua wawe,huwa inakuwa tabu.
 
Kitu ambacho konda atakosea ajutie maisha yake yote ni kumnyanyasa abilia wa kike kwenye daladala.bora hata fanyie wa kiume atapewa uvumilivu kidogo.

Bongo watu sio agressive,ila wakiamua wawe,huwa inakuwa tabu.
Ok
 
Kitu ambacho konda atakosea ajutie maisha yake yote ni kumnyanyasa abilia wa kike kwenye daladala.bora hata fanyie wa kiume atapewa uvumilivu kidogo.

Bongo watu sio agressive,ila wakiamua wawe,huwa inakuwa tabu.
Hii ni kweli kabisa kiongozi, watu watalia nae hapo hapo mpaka kieleweke sio mpaka wakafikishane mahakamani.
 
Ss ndio nn unaleta kichonganisha ?
Sikia Tz mwaka huu kule Mara kuna mwanamama alipambana na jambazi alikuwa kashika AK47 na akapambana nae akampokonyaaa then mkoa huhuo kuna mwanamke alimuokoa mume wake aliyevamiwa na vibaka huyo mwanamama alipiga vibaka ......... Ss ee uleta huo uchurooo wa hao wakonda wa matatu wanakunywa viroba tu haoo
 
Sasa kuna ulazima gani Wa kulinganisha kila kitu na Tanzania? Why can't news just be that, I don't understand why each time it has to degenerate to Kenya Tanzania contest.
Maybe the most important question you should have asked yourself before you thought of Tanzania is, would you have found the courage to do what that woman did. I could bet you and many other Kenyans have travelled in a car/van/bus that had excess passengers but didnt say a word, now one courageous woman does something and you run here to post it and hide under a one "Kenyan" banner and brandish all Tanzanians another.
Tanzanians are made up of individuals just like any other country. Some of these individuals have achieved things that you as a person may never achieve in three lifetimes. So, Next time somebody does something amazing and you happen to have been born within the same borders take it as a lesson/challenge not bragging rights
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…