tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
Mmiliki wa gari la matatu huko Meru Kenya ambamo mama na mwanawe walinyanyaswa na kulazimishwa kushuka kwa kupinga hatua ya kondakta kuongeza abiria kwa gari lililokuwa limejaa amefikishwa mahakamai na kufunguliwa mashtaka
Je watanzania wanaiweza hiyo?