Tabia zisizo za kibiashara , Kuchungulia account za watu bila ridhaa yao,Wapo wengi tu mbona
Mfano nakupa na jina yuko mzee
Wangu mmoja yuko kiwangwa,ana deal na nanasi anaitwa mzee mikugo
Huyo ni hatari sana kifedha yuko vzr sana hata wakati wa utawala ule mambo ya kuchungulia ac walishanga
Kuona mtu Ana mpunga wa mrefu,mzee akawambia yeye mkulima tu
Ova
Hii ishu niliwahi isikia hata kwaKuna mtanzania juzi akiwa Canada aliomba kazi kiwanda cha yeboyebo, jibu la mchina akamwambia kuwa mshahara Kwa mwezi ni shilingi 5000 akashangaa sana huyu mtanzania akasema mbona mshahara mdogo sana Kwa maisha ya Tanzania?
Mchina akamwambia Sisi tulitaka tumlipe kila mfanyakazi shilingi 20000 Kwa siku LAKINI MAWAZIRI wa Tanzania wamewaambia walipeni fedha hiyo hiyo inatosha. Sasa mtoa mada ukisoma comment yangu utaelewa namna watawala wa CCM wanavyofikiri.
Mimi sio CCM wala sio shabiki wa magufuli na wala sio adui wa Samia ila kusema ukweli utawala wa magufuli haijawahi korosho kuaiibika na kushuka bei kama ilivyotokea kwenye utawala huu wa huyu samia,tunashangaa ninyi watu ambao sio wakulima wa korosho na wala sio wakasiwa huku kusini munasema eti magufuli aliharibu zao la koroshoHii Ni kweli kabisa. Wakanada walipokuja Bulyanhulu walikua tayari kulipa MISHAHARA ya kufa mtu. Wakuu wa wilaya na mkoa walipoona hiyo MISHAHARA Ni zaidi ya MISHAHARA wanayolipwa na serikali walitia timu pale Bulyi na kuwashawishi wakanada wafyeke hiyo MISHAHARA.
CCM ndio janga la nchi hii.
Ukija kwenye korosho sote twakumbuka mwendazake alivyowafanya wamakonde. Halafu akaleta mkenya mhuni wakaketi na Prof mhuni kalamaganda kule Arusha, mkenya kaingia mitini mpaka korosho zikaoza.
Niambie mwendazake alumteteaje mkulima? CCM inamtaka mkulima apumue tu ili aweze kupiga kura na kulipa Kodi vinginevyo........
Labda wakulima wa Singida.Hakuna mkulma Tajiri mkuu
Mkulma ni kama muajirwa tuu kwa Africa
Mbeya wakulima matajiri ni waburushi wale wa mpunga bonde la usangu ila hawa wengine naona kawaida tuLabda wakulima wa Singida.
Tembelea Mbeya utakutana na wakulima matajiri.
Adui yetu ni yule yule toka tumepata uhuru. Yani mtu anataka kulipa kwa scale za kwao au ulaya unalazimisha watu walipwe kidogo. Hapo ili tu watu wasiwe na uchumi Imara sababu watu wakijiweza hawatavumilia upumbavu.Yaani adui wetu tunae hapahapa!!!!!