Na ndo tumeanza sasa kwa fedha zetu uko kwingine tutakopa kuliko nyinyi mlomwachia mchina Kila kituMara ilianza na fununu za Dar asks turkey for 400km rail loan.. Alafu baadae tukaambiwa it was only contract, Dar to fund 100%, next tukaskia world bank hold talks, haukupita muda tukaambiwa AfDB to fund Central rail loan, punde si punde Tukaskia loan inatafutwa ndani ya BRICS kupitia SA, sahii imegeuka sasa Barclays bank holding talks.
Seems to me like hawa jamaa wakiamua kutegemea loan watangoja sana, afadhali waamue kutumia robo ya bajeti kwa huu mradi kila mwaka hadi ujenzi ukamilike manake loan hazitakuja leo wala kesho
Kwani mkopo analipa nan?? Si sisi au mkopo siku hizi umekua msaada ???aseee kazi kubwa sana akili za wabongo mweeeSi tunajenga kwa fedha zetu au tumepotoka kidogo?
Haina shida, Sisi hulipa madeni yetu...Na ndo tumeanza sasa kwa fedha zetu uko kwingine tutakopa kuliko nyinyi mlomwachia mchina Kila kitu
Wasipo tupa tunaweza jenga kwa fedha zetu waulize wachina walivyotoa masharti magumu kama walivyowapa nyi maboya nin tulifanyaHaina shida, Sisi hulipa madeni yetu...
Ombeni mpewe hio mikopo manake hadi sasa mnasign mikataba lakini hakuna hata mfadhili mmoja ame commit kutoa pesa kwa ku sign karatasi
Wakenya wengi ni Wajinga na wapumbavu sana, ukizungumza naowanatia hasira,
Siku moja nlikaa na mademu Fulani Bar Pale westlands, yaani unatumia nguvu nyingi kuwaelewesha vitu vidogo kabisa hadi unapata hasira,
Mfano, huyu mleta mada pamoja na kujinasibu humu kujifanya anaijua Tz Leo anakuja na kituko kama hiki, si Kubwajinga hili?
Mkuu vipo angani Mkuu..Viwanda 80 vimejengwa wapi ????? Au angani havionekani
Just like Uganda, mlipewa masharti magumu, na mengine ya kuchekesha kwasababu mchina alikua ana hofu hamna uwezo wa kulipa deni kubwa..unlike Kenya and Ethiopia.Wasipo tupa tunaweza jenga kwa fedha zetu waulize wachina walivyotoa masharti magumu kama walivyowapa nyi maboya nin tulifanya
Basi jinyonge. Mbona povu zito hivyo kama pesa tunatoa kwenu. By the way hata mkopo tunaomba Barclays Tanzania.
Masharti tulopewa ni kama yenu napili kama tungekua tunashindwa kulipa tungeweza 300km na fedha zetuJust like Uganda, mlipewa masharti magumu, na mengine ya kuchekesha kwasababu mchina alikua ana hofu hamna uwezo wa kulipa deni kubwa..unlike Kenya and Ethiopia.
View attachment 689415
Peleka utaahira huko wewe ni konda wa mabasi nini? Sgr itafika kila kona ya nchiBinafsi sikubaliani kabisa na sgr maana kwa maoni yangu haina faida kwa nchi zaidi ya hasara,kama vipi waishie Dom tu then wajenge dry port,tunahitaji barabara zaidi kuliko reli
Ubabe tunao ndio maana tunajenga mamia ya kilometers kwa pesa zetu wenyewe na hatubabaishwi na pesa za masharti kama pesa za ndagu au kimbola kama mlivyo nyie wachina wanawapapasa naniliu nje nje live bila chengaHehehe!! Mnafurahisha jinsi mnavyotumia nguvu nyingi, unaniuliza mtoe wapi pesa, kwani si nyie ndio huwa mnasema mnazo na haitokuja siku mkope, ilhali mnamfuata Zuma awatafutie mikopo, mara mnafuata Barclays, mnafuata kila sehemu.
Mnatunisha misuli na kupambana kuonyesha ubabe msiokua nawo.
Kuvuja udenda huku kuna maana gani zaidi ya kuchanganikiwa,sgr tzn hakuna maana kwa sasa zaidi ya hasaraPeleka utaahira huko wewe ni konda wa mabasi nini? Sgr itafika kila kona ya nchi
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Peleka utaahira huko wewe ni konda wa mabasi nini? Sgr itafika kila kona ya nchi
Tunajenga na pesa yetu,wabongo na michezo ya kuigizaπππππππππππππππππππππππππππππaibu tupu! !!!
Asante kwa Mawazo yako,Binafsi sikubaliani kabisa na sgr maana kwa maoni yangu haina faida kwa nchi zaidi ya hasara,kama vipi waishie Dom tu then wajenge dry port,tunahitaji barabara zaidi kuliko reli
niliwahi sikia kuwa kila mkoa unatakiwa uwe na viwanda 100 sijui 250, tayari vishajengwa, mie huku nilipo naona kuna cha samaki lakini sio cha serikali,Viwanda 80 vimejengwa wapi ????? Au angani havionekani