Watanzania waomba Barclays mkopo kwa ajili ya SGR na Stieglar's Gorge

Watanzania waomba Barclays mkopo kwa ajili ya SGR na Stieglar's Gorge

Mara ilianza na fununu za Dar asks turkey for 400km rail loan.. Alafu baadae tukaambiwa it was only contract, Dar to fund 100%, next tukaskia world bank hold talks, haukupita muda tukaambiwa AfDB to fund Central rail loan, punde si punde Tukaskia loan inatafutwa ndani ya BRICS kupitia SA, sahii imegeuka sasa Barclays bank holding talks.
Seems to me like hawa jamaa wakiamua kutegemea loan watangoja sana, afadhali waamue kutumia robo ya bajeti kwa huu mradi kila mwaka hadi ujenzi ukamilike manake loan hazitakuja leo wala kesho
Na ndo tumeanza sasa kwa fedha zetu uko kwingine tutakopa kuliko nyinyi mlomwachia mchina Kila kitu
 
Na ndo tumeanza sasa kwa fedha zetu uko kwingine tutakopa kuliko nyinyi mlomwachia mchina Kila kitu
Haina shida, Sisi hulipa madeni yetu...
Ombeni mpewe hio mikopo manake hadi sasa mnasign mikataba lakini hakuna hata mfadhili mmoja ame commit kutoa pesa kwa ku sign karatasi
 
Haina shida, Sisi hulipa madeni yetu...
Ombeni mpewe hio mikopo manake hadi sasa mnasign mikataba lakini hakuna hata mfadhili mmoja ame commit kutoa pesa kwa ku sign karatasi
Wasipo tupa tunaweza jenga kwa fedha zetu waulize wachina walivyotoa masharti magumu kama walivyowapa nyi maboya nin tulifanya
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wakenya wengi ni Wajinga na wapumbavu sana, ukizungumza naowanatia hasira,
Siku moja nlikaa na mademu Fulani Bar Pale westlands, yaani unatumia nguvu nyingi kuwaelewesha vitu vidogo kabisa hadi unapata hasira,
Mfano, huyu mleta mada pamoja na kujinasibu humu kujifanya anaijua Tz Leo anakuja na kituko kama hiki, si Kubwajinga hili?

Kumbe kichwa chako kimejaa mavi tu......
 
Wasipo tupa tunaweza jenga kwa fedha zetu waulize wachina walivyotoa masharti magumu kama walivyowapa nyi maboya nin tulifanya
Just like Uganda, mlipewa masharti magumu, na mengine ya kuchekesha kwasababu mchina alikua ana hofu hamna uwezo wa kulipa deni kubwa..unlike Kenya and Ethiopia.


wp_ss_20180202_0002.png
 
Binafsi sikubaliani kabisa na sgr maana kwa maoni yangu haina faida kwa nchi zaidi ya hasara,kama vipi waishie Dom tu then wajenge dry port,tunahitaji barabara zaidi kuliko reli
 
Just like Uganda, mlipewa masharti magumu, na mengine ya kuchekesha kwasababu mchina alikua ana hofu hamna uwezo wa kulipa deni kubwa..unlike Kenya and Ethiopia.


View attachment 689415
Masharti tulopewa ni kama yenu napili kama tungekua tunashindwa kulipa tungeweza 300km na fedha zetu
 
Hehehe!! Mnafurahisha jinsi mnavyotumia nguvu nyingi, unaniuliza mtoe wapi pesa, kwani si nyie ndio huwa mnasema mnazo na haitokuja siku mkope, ilhali mnamfuata Zuma awatafutie mikopo, mara mnafuata Barclays, mnafuata kila sehemu.
Mnatunisha misuli na kupambana kuonyesha ubabe msiokua nawo.
Ubabe tunao ndio maana tunajenga mamia ya kilometers kwa pesa zetu wenyewe na hatubabaishwi na pesa za masharti kama pesa za ndagu au kimbola kama mlivyo nyie wachina wanawapapasa naniliu nje nje live bila chenga
 
Tunajenga na pesa yetu,wabongo na michezo ya kuigiza😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀aibu tupu! !!!
 
Hapa kila mmoja atasema lake na lawama kemkem lkn siku hizi Project zikikamilika naimani kila mmoja atasema “hakuna kama JPM tz hii”
Tuombeni uzima tu na afya njema
“Mark My Words”[emoji1321]
 
Binafsi sikubaliani kabisa na sgr maana kwa maoni yangu haina faida kwa nchi zaidi ya hasara,kama vipi waishie Dom tu then wajenge dry port,tunahitaji barabara zaidi kuliko reli
Asante kwa Mawazo yako,
Tunajenga Reli ya kisasa hadi Kampala.
 
Viwanda 80 vimejengwa wapi ????? Au angani havionekani
niliwahi sikia kuwa kila mkoa unatakiwa uwe na viwanda 100 sijui 250, tayari vishajengwa, mie huku nilipo naona kuna cha samaki lakini sio cha serikali,
 
Back
Top Bottom