zikamilike kwa pesa zetu na sio kuomba, si mlituambia ni pesa zetu ndio zinazojenga, sasa kimuhemuhe cha nini, wacha tulipie passport nadhani nazo zitachangia hiyo miradiHapa kila mmoja atasema lake na lawama kemkem lkn siku hizi Project zikikamilika naimani kila mmoja atasema “hakuna kama JPM tz hii”
Tuombeni uzima tu na afya njema
“Mark My Words”[emoji1321]
Kawaida yaoTanzania nchi omba omba.....
Mbona nyinyi mkiomba chakula hatuongei?Tanzania nchi omba omba.....
Hatujawai kuwaomba chakula nyinyi ndo mmejazana huku mkiomba ombaMbona nyinyi mkiomba chakula hatuongei?
Tumeomba nini?Tanzania nchi omba omba.....
Umeona ee, hata madukani, kwenye migahawa na hadi kwenye bar, huwa wanasema naomba uniuzie! Watanzania bana, wote ni omba omba tu. 😀😀Kawaida yao