Watanzania wapata Golden Buzzer Australia's Got Talent

Watanzania wapata Golden Buzzer Australia's Got Talent

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Wanasarakasi kutoka Tanzania, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Hamisi waliiwakilisha Tanzania katika jukwaa la kusaka vipaji, Australia's Got Talent.

Wawili hao ambao wanajiita "Ramadhan Brothers" walionesha umahiri mkubwa kwenye sarakasi na michezo hatari hali iliyofanya majaji wote wawakubali.

Hii ilikuwa mara yao ya kwanza kupanda katika jukwaa kubwa. Ikiwa watashinda watapata kitita cha dola 100,000 sawa na takribani Tsh. Milioni 233.


 
Wanasarakasi kutoka Tanzania, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Hamisi waliiwakilisha Tanzania katika jukwaa la kusaka vipaji, Australia's Got Talent.

Wawili hao ambao wanajiita "Ramadhan Brothers" walionesha umahiri mkubwa kwenye sarakasi na michezo hatari hali iliyofanya majaji wote wawakubali.

Hii ilikuwa mara yao ya kwanza kupanda katika jukwaa kubwa. Ikiwa watashinda watapata kitita cha dola 100,000 sawa na takribani Tsh. Milioni 233.

hawa jamaa wametisha nawaombea muendelez mzur kwny hatua zijazo
 
Wanasarakasi kutoka Tanzania, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Hamisi waliiwakilisha Tanzania katika jukwaa la kusaka vipaji, Australia's Got Talent.

Wawili hao ambao wanajiita "Ramadhan Brothers" walionesha umahiri mkubwa kwenye sarakasi na michezo hatari hali iliyofanya majaji wote wawakubali.

Hii ilikuwa mara yao ya kwanza kupanda katika jukwaa kubwa. Ikiwa watashinda watapata kitita cha dola 100,000 sawa na takribani Tsh. Milioni 233.

Hawajaiwakilisha Tanzania...kwani walipewa nauli na Mwigulu?
 
Back
Top Bottom