Watanzania wapata Golden Buzzer Australia's Got Talent

Watanzania wapata Golden Buzzer Australia's Got Talent

Pongezi zote ziende kwa mheshimiwa Raisi wa awamu ya sita Samia Suluhu Hasan kwa sera nzuri.
Yule katili alikuwa anazuia watu kutoka nje ya nchi😡
 
Hongera kwao Ramadhan Brothers,Kwa kweli huko mbele Jamaa watafika mbali sana.
 
Wanasarakasi kutoka Tanzania, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Hamisi waliiwakilisha Tanzania katika jukwaa la kusaka vipaji, Australia's Got Talent.

Wawili hao ambao wanajiita "Ramadhan Brothers" walionesha umahiri mkubwa kwenye sarakasi na michezo hatari hali iliyofanya majaji wote wawakubali.

Hii ilikuwa mara yao ya kwanza kupanda katika jukwaa kubwa. Ikiwa watashinda watapata kitita cha dola 100,000 sawa na takribani Tsh. Milioni 233.


Ramadhani Brothers from Tanzania wamewakilisha vyema kabisa na sarakasi za maajabu makubwa.
 
Back
Top Bottom