dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Wooh si habaeeh $1 million
yah pesa ndefWooh si haba
CCM ni laana popote wanapogusa panalaanika.Wametisha aisee. Kumbe Watanzania wasipobeba mwenge wanaweza kufanya vizuri sana kimataifa
Wanasarakasi kutoka Tanzania, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Hamisi waliiwakilisha Tanzania katika jukwaa la kusaka vipaji, Australia's Got Talent.
Wawili hao ambao wanajiita "Ramadhan Brothers" walionesha umahiri mkubwa kwenye sarakasi na michezo hatari hali iliyofanya majaji wote wawakubali.
Hii ilikuwa mara yao ya kwanza kupanda katika jukwaa kubwa. Ikiwa watashinda watapata kitita cha dola 100,000 sawa na takribani Tsh. Milioni 233.
Dharau hizo sasaItabidi Wakenya watie neno ili hao vijana wapate umaarufu, maana nyie kawaida yenu huwa mpo mpo tu.