Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
No body ataamini empty words , huna data , huna facts, huna any supportive dataNadhani mnaichukulia poa sana TZ , na kwakuwa haya maneno nimezungumza mzawa but trust me we are doing very well in many aspects
Naongea kma m tz ambae amesoma nje, ameishi nje kwa muda mrefu
Kuna nchi haswa za europe , east africa kenya ndio inafahamika zaidi lakini si tz
Si kwamba naichukulia poa ila ndio reality, tz mnajikuza sana kuliko uhalisia