Pre GE2025 Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni hapana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kenya haijaendelea
Kenya ni nchi inayoendelea kwa kasi katika nchi zilizopo africa mashariki na kati ...hata ndugu yetu mtanzania benjamin Fernandez kaamua kwenda kuwekeza kenya
 
Ubaguzi wa rangi kwa zaidi ya miaka 30 ni excuses ya kipuuzi ambayo bado inatumika SA na US ili ku justify failures
 
Si tu kuwa Zambia au Malawi haziwezi hata Tanzania haiwezi imeshindwa.
 
Si tu kuwa Zambia au Malawi haziwezi hata Tanzania haiwezi imeshindwa.
Zambia na Malawi hawana rasilimali mfano wa Singapore, Tanzania ina rasilimali kuliko Singapore.
 
Zambia na Malawi hawana rasilimali mfano wa Singapore, Tanzania ina rasilimali kuliko Singapore.
Kama unazungumzia rasilimali akili upo sahihi tofauti na hapo haupo sahihi.
 
Kama unazungumzia rasilimali akili upo sahihi tofauti na hapo haupo sahihi.
Zambia na Malawi hawana bandari waliyo nayo Singapore ambayo kwa mwaka wanakusanya mapato hadi ya $b7.
 
Zambia na Malawi hawana bandari waliyo nayo Singapore ambayo kwa mwaka wanakusanya mapato hadi ya $b7.
Ambayo ni asilimia ndogo tu ya GDP ya SG inachangia

Switzerland hawana bandari kama ya SG
 
Ambayo ni asilimia ndogo tu ya GDP ya SG inachangia

Switzerland hawana bandari kama ya SG
Switzerland imezungukwa na Ufaransa, Ujerumani, Italia na Austria.
 
Switzerland imezungukwa na Ufaransa, Ujerumani, Italia na Austria.
Unataka kumaanisha kuwa wajinga wamezungukana na werevu wamezungukana hivyo utofauti lazima uwepo, nimekupata.
 
Unataka kumaanisha kuwa wajinga wamezungukana na werevu wamezungukana hivyo utofauti lazima uwepo, nimekupata.
Ndio, majirani wanaokuzunguka wana athari na mchango mkubwa sana katika maisha yako jinsi utakavyokuwa.
 
Mfumo wa vyama vingi ni process ya kuharakisha maendeleo bila kujali ni chama gani kinashinda na kuongoza dola as long as uchagua unakua huru na wa haki
Kwahiyo hapo ndio nimeandika Kupata maendeleo NILAZIMA kuwa na mfumo wa vyama vingi?

Jifunze kujadili muktadha wa hoja na sio kujibanza kwenye sentensi na kuacha dhana nzima ya hoja yangu

Natudia tena kukukumbusha kwamba hoja zako zote zinajibiwa na topic ya vyama vingi form two B
 
Mbumbumbu na maskini ndio wanadhani Hali Yao itabadilika wanasabu Wanasiasa ni matapeli na wanatafuta ulli wao na wake zao na Watoto wao.

Mifano imejaa hapa Duniani.

Mbumbumbu wa hivyo ndio maana wanatumiwa kirahisi sana na Wanasiasa Kwa sababu hawajitambui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…