Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Natumai hata serikal itafanya mambo yao mtandaon kama kujenga miundombinu,n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie link ya flyoverNatumai hata serikal itafanya mambo yao mtandaon kama kujenga miundombinu,n.k
Mkuu kuna biashara ambazo mamlaka hazikupi kibali kama hawajakagua frame yako unayotaka kufanyia biashara.Hii tabia imekithiri sana hapa nchini. Utakuta mjasiriamali analipa pesa nyiiiingi kulipia chumba cha duka akitarajia kupata pesa nyingi, ni kosa kubwa sana.
Jamani eeh, kukodi fremu ufungue duka unapoteza hela zako. Somo hili kichwa cha habari hii kinahusika.
Hii tabia imekithiri sana hapa nchini. Utakuta mjasiriamali analipa pesa nyiiiingi kulipia chumba cha duka akitarajia kupata pesa nyingi, ni kosa kubwa sana.
Njia zifuatazo zinaweza tumika badala ya kumfadisha landlord's.
1. Tangaza biashara yako pelekea wateja wewe mwenyewe (huu mfumo door to door upo lkn kidogo sana)
2. Tumia social media kuuza bidhaa.
Kweli ni saa 7 mchana 😂Biashara ya Salon vipi, utawanyoa na kuwasuka watu online? Wanaupload vichwa au vipi bhana.
Siyo biashara zote zinahitaji huduma ya mlango kwa mlango, (delivery services) mfano ya ufundi ambayo niyakuuza akili na nyingine nyingi lazima uwe na ofisi kuna mambo mengi ya muhimu kwanini kuna haja ya kuwa na ofisiJamani eeh, kukodi fremu ufungue duka unapoteza hela zako. Somo hili kichwa cha habari hii kinahusika.
Hii tabia imekithiri sana hapa nchini. Utakuta mjasiriamali analipa pesa nyiiiingi kulipia chumba cha duka akitarajia kupata pesa nyingi, ni kosa kubwa sana.
Njia zifuatazo zinaweza tumika badala ya kumfadisha landlord's.
1. Tangaza biashara yako pelekea wateja wewe mwenyewe (huu mfumo door to door upo lkn kidogo sana)
2. Tumia social media kuuza bidhao biashara zote
Hii ni kweli ila kuna muda biashara yenyewe inakulazimisha uwe na eneo officialJamani eeh, kukodi fremu ufungue duka unapoteza hela zako. Somo hili kichwa cha habari hii kinahusika.
Hii tabia imekithiri sana hapa nchini. Utakuta mjasiriamali analipa pesa nyiiiingi kulipia chumba cha duka akitarajia kupata pesa nyingi, ni kosa kubwa sana.
Njia zifuatazo zinaweza tumika badala ya kumfadisha landlord's.
1. Tangaza biashara yako pelekea wateja wewe mwenyewe (huu mfumo door to door upo lkn kidogo sana)
2. Tumia social media kuuza bidhaa.
Hauna stress kwa saana.Uwekezaji mzuri Sana huo
European wameshahama hapoTatizo la Door to door ni Moja, Kuna wateja wanataka walione duka lako lipo wapi, hapo tegemea kuwakosa wateja wa aina hiyo maana wanaamini kwenye mambo ya guarantee hasahasa kama unauza electric appliances.
Tunapoelelekea biashara inalazimika I've by delivery system.. mteja anakuita unaenda. Tena kwa heshimaHii ni kweli ila kuna muda biashara yenyewe inakulazimisha uwe na eneo official
Pia inategemea aina ya biashara pia
JM
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani eeh, kukodi fremu ufungue duka unapoteza hela zako. Somo hili kichwa cha habari hii kinahusika.
Hii tabia imekithiri sana hapa nchini. Utakuta mjasiriamali analipa pesa nyiiiingi kulipia chumba cha duka akitarajia kupata pesa nyingi, ni kosa kubwa sana.
Njia zifuatazo zinaweza tumika badala ya kumfadisha landlord's.
1. Tangaza biashara yako pelekea wateja wewe mwenyewe (huu mfumo door to door upo lkn kidogo sana)
2. Tumia social media kuuza bidhaa.
Inategemea kama ni SME su startup business kama ni startup swala la kuwa na ofisi haliepukikiTunapoelelekea biashara inalazimika I've by delivery system.. mteja anakuita unaenda. Tena kwa heshima
Unajua wanapata sh ngapi??Kuna mtaa fulani niliambiwa watu wanalipia laki nne kodi ya nyumba bado kodi nyingine nikawaona wajinga sana afu wameweka vipodozi tena reja reja aiseee.
Unaweza ukamuona mjinga anauza vipodozi Ila biashara yake haswa sio vipodozi vipodozi geresha tu, Pesa utafutaji una Siri nyingi usimdharau mtu kwa kila Jambo unaloliona mfuate umuulize unalipa pango laki 4 kwa mwezi unauza vipodozi rejareja kwa mwezi hauingizi hata laki hio Pesa ya pango unalipaje atakachokuambia nahisi utabaki mdomowazi, analipa laki 4 anaingiza milioni 4 sasa laki 4 ni nini kwenye million 4?Kuna mtaa fulani niliambiwa watu wanalipia laki nne kodi ya nyumba bado kodi nyingine nikawaona wajinga sana afu wameweka vipodozi tena reja reja aiseee.