Watanzania watatu wahukumia kifungo cha miaka 15 Kenya kwa tuhuma za ugaidi

Kweli we punguani, mtoto wa Afisa wa Jeshi la Kenya awe Msomali? Tazama na hii, sema wote ni Wasomali?...


Kuna Msomali anaitwa Violet Kemunto Omonywo?
 
FaizaFoxy, naona unajitia hamnazo, sina huo muda wa kujibizana na zombie. Nenda Somalia ukajiunge na wenzako uwe unapigwa miti na wavaa ndala mbili na misharubu yao, wenye utapiamlo na ambao hawajaoga wala kuchamba kwa miezi zaidi ya kumi na miwili.
 
Mbona wamewapendelea hivyo? Huku Tanzania walikua hata hawapelekwi mahakamani ni kunyongwa na kupakiwa kwenye viroba mpaka wakaisha.
 
Wewe kweli punguani, mtoto wa Afisa wa Jeshi la Kenya awe Msomali? Tazama na hii, sema wote ni Wasomali?... Kuna Msomali anaitwa Violet Kemunto Omonywo?
 
We vipi mbona akili yako ndogo? Ina maana unajaribu kusema kua hakuna afisa wa jeshi ambaye ni msomali?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anhaa! Sasa fata uzi ukaone punguani mwenzio alichojibu kuhusu Wasomali wa Kenya na hiyo ni proof kwake kuwa Wasomali kwanza kabisa ni Uislam wao halafu Usomali wao halafu ndiyo taifa lao la kufikia.

Umeyakinisha kabisa niyasemayo. Msiwe mnakurupuka kurukia mjadala kati. Mjadala wangu kuhusu Wasomali na Wakenya na huyo ajiitae MK254 unaendelea kwa miaka sasa, haujaanza na uzi huu.

Punguani wahed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…