UKWELI NI HUU
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 262
- 412
View attachment 442630 Watanzania wawili Jackline Sakilu na Augustine Sulle wameibuka na ushindi muda mfupi uliopita katika mbio za Belo Horizonte half marathon huko nchini Brazil.
Dada Jackline Sakilu ameibuka mshindi wa kwanza kwa wanawake wakati bwana Augustine Sulle ameibuka mshindi wa tatu kwa wanaume.
View attachment 442633 View attachment 442634
View attachment 442630 Watanzania wawili Jackline Sakilu na Augustine Sulle wameibuka na ushindi muda mfupi uliopita katika mbio za Belo Horizonte half marathon huko nchini Brazil.
Dada Jackline Sakilu ameibuka mshindi wa kwanza kwa wanawake wakati bwana Augustine Sulle ameibuka mshindi wa tatu kwa wanaume.
View attachment 442633 View attachment 442634