Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
wengi wa watanzania akili yao ni ya kutingisha, maana hainingii akilini kama akili yao iko standard ama lah,
we mtu anawezaje kuuza haki yake, tena kwa kulaghaiwa na furana, doti za khanga na kofia? kwa kukaribisha shida zaidi?
katika maisha yake, maana hizo khanga, fulana na kofia zitakwisha kwa muda wa miezi tu na pengine wiki tu, lakini vipi tuendako?
we mtu anawezaje kuuza haki yake, tena kwa kulaghaiwa na furana, doti za khanga na kofia? kwa kukaribisha shida zaidi?
katika maisha yake, maana hizo khanga, fulana na kofia zitakwisha kwa muda wa miezi tu na pengine wiki tu, lakini vipi tuendako?