Watanzania wengi hatuna mitazamo ya kuona mbali

Watanzania wengi hatuna mitazamo ya kuona mbali

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Mimi najua mtu ukiashapata pesa huwezi kushaurika wala kukubaliana na wenzako uliowapita, hili ni kwa asilimia kubwa ya matajiri wanaozidi kuongoza gurudumu.

Kisa kilicho nileta hapa kuna jamaa alisikia tetesi ile nyumba inauzwa muda wowote ila kutojulikana siku, yeye akachukua maamuzi ya kuongeza fremu ili kutanua biashara yake ambayo jumla kwa mwezi ilibidi kulipa kodi milioni 2 kamili kwa mwezi, mwaka mzima milioni 24.

Suala la ile nyumba hakuzingatia sababu kodi analipa na kuwekeza sehemu nyengine, mwaka huu nyumba imeiuzwa milioni 350 na mmliki mpya kapandisha kodi anaanza kulalamika, na biashara yake inazaidi ya miaka 10 tokea kusikia hili suala kuwa nyumba itauzwa na yupo hapo.
 
una maan aimeuzwa kutoka mmiliki wa kwanza,akanunua wa pili ambaye baadae akapandisha kodi na jamaa huyo pia anataka kuuza tena?
 
una maan aimeuzwa kutoka mmiliki wa kwanza,akanunua wa pili ambaye baadae akapandisha kodi na jamaa huyo pia anataka kuuza tena?
pesa ya kununua alikuwa nayo au kuaweka kabisa ili likitokea anatoa pesa.yeye kaona kufanya mengine ambayo hata biashara akiweka pengine itamchukulia mda wtu kuzoea na ilo eneo ni hot cake
 
una maan aimeuzwa kutoka mmiliki wa kwanza,akanunua wa pili ambaye baadae akapandisha kodi na jamaa huyo pia anataka kuuza tena?
Yani nilivyomuelewa kipindi mmiliki amepanga kuuza mpangaji wa frem akatanua biashara na kulipa kodi labda akitarajia itakua ile ile hata nyumba ikiuzwa.
Sasa mmiliki mpya kapandisha kodi tofauti na ya mwanzo mpangaji analalamika.
 
Mimi najua mtu ukiashapata pesa huwezi kushaurika wala kukubaliana na wenzako uliowapita, hili ni kwa asilimia kubwa ya matajiri wanaozidi kuongoza gurudumu.

Kisa kilicho nileta hapa kuna jamaa alisikia tetesi ile nyumba inauzwa muda wowote ila kutojulikana siku, yeye akachukua maamuzi ya kuongeza fremu ili kutanua biashara yake ambayo jumla kwa mwezi ilibidi kulipa kodi milioni 2 kamili kwa mwezi, mwaka mzima milioni 24.

Suala la ile nyumba hakuzingatia sababu kodi analipa na kuwekeza sehemu nyengine, mwaka huu nyumba imeiuzwa milioni 350 na mmliki mpya kapandisha kodi anaanza kulalamika, na biashara yake inazaidi ya miaka 10 tokea kusikia hili suala kuwa nyumba itauzwa na yupo hapo.
mazoea yana tabu sana ikitokea mabadiliko 🐒
 
Yani nilivyomuelewa kipindi mmiliki amepanga kuuza mpangaji wa frem akatanua biashara na kulipa kodi labda akitarajia itakua ile ile hata nyumba ikiuzwa.
Sasa mmiliki mpya kapandisha kodi tofauti na ya mwanzo mpangaji analalamika.
lakin si kuna mkataba.
 
kwahyo umiliki ukibadilika mkataba unavunjwa?sasa ni ipi faida ya mkataba kama siyo hili jambo
Sina ujuzi sana ila kwa nifahamuvyo mimi mkataba ni kati ya wewe na yule uliyeingia naye makubaliano.
Hivyo kati yenu mnalindiana makubaliano.
Ila kama umiliki unabadilika hilo ni suala la bargaining/negotiations na mmiliki mpya.
Kwani kipindi mnaandikishiana mkataba mimi nilihusika kaka??
Sikuhusika mlikua ninyi wawili mkilinda maslahi yenu.
Kwenu mkataba ni valid ila sio kwangu mimi mmiliki mpya maana sikuwepo mkisainishana.
Kwa uelewa wangu lakini.
 
Sina ujuzi sana ila kwa nifahamuvyo mimi mkataba ni kati ya wewe na yule uliyeingia naye makubaliano.
Hivyo kati yenu mnalindiana makubaliano.
Ila kama umiliki unabadilika hilo ni suala la bargaining/negotiations na mmiliki mpya.
Kwani kipindi mnaandikishiana mkataba mimi nilihusika kaka??
Sikuhusika mlikua ninyi wawili mkilinda maslahi yenu.
Kwenu mkataba ni valid ila sio kwangu mimi mmiliki mpya maana sikuwepo mkisainishana.
Kwa uelewa wangu lakini.
sawa
 
Imekuwaje imeuzwa na yeye akiwemo?, vipi ana mkataba wa miaka mingapi na imebaki miaka mingapi ya upangaji wake?. Mkataba wao unasemaje ikiwa yatatokea mazingira kama hayo?, je upo kimya?

Kwanini asimshtaki upande wa pili kwa kuvunja mkataba?

Tutaendelea baadae
 
Back
Top Bottom