Watanzania wengi hawapendi kusafiri

Watanzania wengi hawapendi kusafiri

Wewe naona ndio una udumavu wa akili maana unaandika kitu pasipo kuangalia uhalisia wa maisha ya mtanzania, mtu hata uwezo wa kupata mlo wa siku moja ni tatizo halafu una shangaa watu kutokwenda nje? Hizi ni akili au nini? Ni watanzania gani unawaongelea hapa?, Samahani kwa hayo majibu yawezekana hatulingani umri.
Udumavu wa akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachosema ni kweli, hata passport tu mtu kuwa nayo anaona kama sio kitu anachostahili, labda ni za watu fulani tu, hata kama uwezo wa kuipata anayo.

Ila sisi pia hatuna courage sana kama wakenya ndio maana idadi ya wa TZ wanaoenda kupambana nje ni wachache kuliko sisi.

Lugha pia imeendelea kuwa changamoto, kama ingewezekana shule za Serikali zingefundisha masomo yote kwa kizungu tangu la kwanza.
Hapo kwenye lugha umenena
 
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.

Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.

Why this🤔🤔
Lugha baba, Lugha. Africa magharibi ukiangalia ni Ghana, Nigeria ana kuna nchi nyingine pale nimeisahau lakini bendera yake ni kama ya marekani hivi. East Africa umeongelea Kenya. Ishu hapa Lugha ya Kiingereza kutoifahamu tumekua waoga
 
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.

Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.

Why this🤔🤔
Ukifika uhamiaji kuomba passport ndiyo utagundua kumbe siyo kwamba watanzania hawataki kusafiri, ila mtazamo wa serikali ni kila mwananchi abaki nchini kutumikia adhabu ya kutotoka nje ya nchi.
Wapo tayari wakunyime passport kwa madai ya wasiwasi kama wewe ni mtanzania halafu wakakuacha uendelee na maisha uraiani bila kuchunguza kama si raoa unafanya nini nchini.

Wapo tayari kukunyima passport kwa madai ya kutoridhishwa na sababu inayokupeleka nje ya nchi, halafu wakakuacha uraiani bila kutaka kujua huko uraiani unafanya nini.
 
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.

Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.

Why this🤔🤔
Umeona ee!
 
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.

Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.

Why this🤔🤔
Hawana pesa, umaskini umetamalaki.

Zamani walikuwa wanatembeleana kama ndugu ila siku hizi watu hawataki ndugu
 
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.

Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.

Why this[emoji848][emoji848]

hao wakenya kila siku wanalia wanauliwa uarabuni
 
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.

Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.

Why this[emoji848][emoji848]

Usichoelewa nchi ikiwa vizuri kiuchumi, amani na stable huwez kuta watu wanaambaa ambaa nchi nyingine!!….
Labda kutumia pesa
 
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.

Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.

Why this[emoji848][emoji848]
Sio hatupendi kusafiri watanzania wengi tuna roho mbaya sn kupeana michongo ya maisha.

Tofauti na Kenyans na Nigerians.


Hata sijuwi roho mbaya tumerithi kwa wakoloni gani?
 
Usichoelewa nchi ikiwa vizuri kiuchumi, amani na stable huwez kuta watu wanaambaa ambaa nchi nyingine!!….
Labda kutumia pesa
Unaweza kusemaje kuhusu Finland? Ni miongoni mwa nchi inayoongoza dunianai kwa watu wake kusafiri sana.
 
Wakitaka kusafiri utawalipia nauli na gharama zote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nauli siyo tatizo kama nia ipo!

Kila kitu alicho nacho mtu, kama hakuzaliwa nacho au kukiridhi, basi ujue kuna namna alitia juhudi kukipata.

Ukiona ameoa au kuolewa, ujue ni kwa sababu aliweka hiyo nia.

Una simu, laptop, nguo nzuri, viatu vizuri, baiskeli, gari, nyumba, mashamba, kampuni? Kama umepata kwa jitihada zako binafsi, ujue ni kwa sababu uliweka nia ya kulifikia lengo husika.

Si rahisi kukipata usichokitafuta. Kama hukitafuti, hata fursa ya kupata ikitokea hutaitmbua.

Ndiyo kusema, kila mwenye nia ya kusafiri, aliweka jitihada, atafanikisha.

Lakini kama mtazamo wake ni ule wa baadhi ya wanasiasa kuwa hitaji pekee la Mtanzania ni chakula na maji safi, hatakaa asafiri, labda tu kama ataagizwa na daktari.
 
Back
Top Bottom