Watanzania wengi mnatia huruma kwenye uandishi wa Kiswahili

Watanzania wengi mnatia huruma kwenye uandishi wa Kiswahili

Kuna uzi nilianzisha kuhusu taarifa za Kenya kuingia mkataba na Afrika Kusini ili kuwasaidia kuzindua elimu ya lugha ya Kiswahili kwenye mtaala wao. Kuna Watanzania wametiririka kwa povu za kiajabu huku wakijinadi kwamba wao ndio wamiliki wa hii lugha na hao ndio waliopaswa kualikwa wakaifunze, ila cha kushangaza, hao hao Watanzania ukisoma humo uandishi wao wa Kiswahili unatia huruma na ukihoji wanakuambia hawana haja ya kuzingatia Kiswahili sanifu.

Unakuta mtu anajisifu jinsi alivyoganda kwenye Kiswahili pekee na hataki kujiongeza kwenye lugha nyingine, ila hicho hicho Kiswahili hakitendei haki, anaandika upupu mtupu, Kiswahili kibovu kupita maelezo.

Watanzania mnatia huruma mjue, mnazembea hamtaki kujifunza Kingereza, pia lugha zenu za asili mumezitelekeza, madogo wengi hamzijui hata salamu, kazi yenu kuvaa milegezo na kushobokea wasanii mjini mjini, halafu Kiswahili hamtaki kujiboresha, uandishi wenu wa ovyoo, ni janga la taifa lakini kama mbuni mumefukia vichwa vyenu na kuanika maeneo mengine yote.

Watanzania wengi kazini ukiwaomba waandike taarifa/ripoti kwa Kingereza hawawezi, ukiwaagiza basi waandike kwa Kiswahili halafu utatafsiri mwenyewe hapo ndio utashangaa kitu watakachokuandikia, mtu hazingatii alama za uandishi, matumizi sahihi ya misamiati n.k. Kiswahili kibovu hadi kinatia hasira.

Sio kwamba najisifu wala kuwasifu Wakenya kuwa tunajua Kiswahili kuwazidi Watanzania, ila ni kwamba wengi tunapambana kujiboresha kila siku, kuyakubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi, mimi binafsi tangu nikiwa mdogo nilipenda sana kusoma gazeti la Taifa Leo ambalo huandikwa kwa Kiswahili, nia na lengo lilikua kujifunza jinsi ya kutumia hii lugha ipasavyo.
Hii ni lugha gani?
 
Wewe ni mtaalamu wa kweli wa kiswahili?!
1. Povu za kiajabu.
2.wakaifunze.
3. Madogo.
4. Kujiboresha.

Kama wewe ndio mtaalamu wa kiswahili, Wakenya wana hasara.
 
Kuna uzi nilianzisha kuhusu taarifa za Kenya kuingia mkataba na Afrika Kusini ili kuwasaidia kuzindua elimu ya lugha ya Kiswahili kwenye mtaala wao. Kuna Watanzania wametiririka kwa povu za kiajabu huku wakijinadi kwamba wao ndio wamiliki wa hii lugha na hao ndio waliopaswa kualikwa wakaifunze, ila cha kushangaza, hao hao Watanzania ukisoma humo uandishi wao wa Kiswahili unatia huruma na ukihoji wanakuambia hawana haja ya kuzingatia Kiswahili sanifu.

Unakuta mtu anajisifu jinsi alivyoganda kwenye Kiswahili pekee na hataki kujiongeza kwenye lugha nyingine, ila hicho hicho Kiswahili hakitendei haki, anaandika upupu mtupu, Kiswahili kibovu kupita maelezo.

Watanzania mnatia huruma mjue, mnazembea hamtaki kujifunza Kingereza, pia lugha zenu za asili mumezitelekeza, madogo wengi hamzijui hata salamu, kazi yenu kuvaa milegezo na kushobokea wasanii mjini mjini, halafu Kiswahili hamtaki kujiboresha, uandishi wenu wa ovyoo, ni janga la taifa lakini kama mbuni mumefukia vichwa vyenu na kuanika maeneo mengine yote.

Watanzania wengi kazini ukiwaomba waandike taarifa/ripoti kwa Kingereza hawawezi, ukiwaagiza basi waandike kwa Kiswahili halafu utatafsiri mwenyewe hapo ndio utashangaa kitu watakachokuandikia, mtu hazingatii alama za uandishi, matumizi sahihi ya misamiati n.k. Kiswahili kibovu hadi kinatia hasira.

Sio kwamba najisifu wala kuwasifu Wakenya kuwa tunajua Kiswahili kuwazidi Watanzania, ila ni kwamba wengi tunapambana kujiboresha kila siku, kuyakubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi, mimi binafsi tangu nikiwa mdogo nilipenda sana kusoma gazeti la Taifa Leo ambalo huandikwa kwa Kiswahili, nia na lengo lilikua kujifunza jinsi ya kutumia hii lugha ipasavyo.
Mkuu mbona mimi sikuelewi kabisa ?
Kiswahili ulichokiandika hapa chote 100% ni cha ki Tanzania hakuna chembe hata moja ya kiswahili cha Kenya, na wewe unadai ni Mkenya sio kweli aidha wewe ni mkenya uliokulia Tanzania na kama hiki unachokisifia kuwa bora sio cha kenya kbs ni cha Tanzania.

Hakuna mkenya aliyekulia upcountry anaweza aidha kuongea au kuandika hiki kiswahili ulichokiandika awe Jaluo, Kibsiksi, kikuyu, Kalenjin,Luya , Kamba
 
We jamaa mara nyingi unapozungumzia Tanzania unakuwa na mtazamo hasi kabisa. Sababu haswa ni ipi?! Ni kipi mtazania akihitaji kutoka Kenya ili awe bora!! Jibu ni hakuna! Tabia za binadamu yeyote ni matokeo ya utamaduni uliomkuza, hivyo huwezi kumuhukumu mtanzania kwa kutoishi kama mkenya, uelewa na uwezo wako wa kuchambua masuala ya kijamii ni hafifu sana na umetawaliwa na ubinafsi, pengine kwa kuwa huko Kenya kuendekeza ukabila ni sehemu muhimu ya maisha yenu.

Ni kweli Kiswahili unakifahamu, tena kuna uwezekano mkubwa kuwa Kiswahili chako umejifunzia na kukizungumza sana ukiwa Tanzania unakokudhalilisha kila uchao. Kiswahili cha Kenya na Tanzania ni tofauti sana, japo kuna mfanano kiasi angalau kwa wakazi wa Mombasa.

Watanzania wanakifahamu Kiingereza vizuri sana ila hatuna matumizi ya mara kwa mara tuwapo hapa kwetu na haituathiri, hivyo unajua kuwa lugha isipotumika mara kwa mara ni rahisi kusahaulika ama kupoteza radha muhimu za lugha husika. Nakukumbusha kuwa kutokujua Kiingereza hakupunguzi uwezo wa akili hata chembe. Kwani wewe wafahamu Kichina!? Kiarabu je?! Kifaransa na Kireno!!! Au wewe upeo wako umegota kwenye Kiingereza na kujivunia lugha isiyo yako kwa asili!!

Nikuarifu kuwa Afrika Kusini wanawachukua wakenya kuwafundisha Kiswahili si kwa sababu Kenya ni wazuri katika Kiswahili kuliko Tanzania, bali kwa kuwa mna matumizi ya Kiingereza zaidi yetu, hivyo mnayo nafasi bora zaidi ya kukitumia Kiingereza kufundisha Kiswahili kile chepesi kabisa (Simple Swahili for foreign learners). Kiswahili cha kuombea maji ili usife kwa kiu. Kiswahili haswa kipo Tanzania, kikihitajika tutahitajika.
Muulize hicho anachojipambanua nacho kajifunzia wapi? Ukweli ni kuwa roho inamuuma maana anajua ile MOU ya kupeleka walimu wa Kiswahili Afrika Kusini hawatafurukuta mbele ya Tanzania yenye Taasisi za Kiswahili chungu nzima vyuoni!
 
Mwendawazimu tu huyu jamaa kujidai anatufahamu watanzania, watu zaidi ya milioni 50 anawezaje kutuweka kwenye fikra zake finyu. Yaani mkenya akiishi Arusha akajua Kiswahili anarudi kwao na kujidai anawajua watz... hopeless!!
Muulize hicho anachojipambanua nacho kajifunzia wapi?
 
Kuna uzi nilianzisha kuhusu taarifa za Kenya kuingia mkataba na Afrika Kusini ili kuwasaidia kuzindua elimu ya lugha ya Kiswahili kwenye mtaala wao. Kuna Watanzania wametiririka kwa povu za kiajabu huku wakijinadi kwamba wao ndio wamiliki wa hii lugha na hao ndio waliopaswa kualikwa wakaifunze, ila cha kushangaza, hao hao Watanzania ukisoma humo uandishi wao wa Kiswahili unatia huruma na ukihoji wanakuambia hawana haja ya kuzingatia Kiswahili sanifu.

Unakuta mtu anajisifu jinsi alivyoganda kwenye Kiswahili pekee na hataki kujiongeza kwenye lugha nyingine, ila hicho hicho Kiswahili hakitendei haki, anaandika upupu mtupu, Kiswahili kibovu kupita maelezo.

Watanzania mnatia huruma mjue, mnazembea hamtaki kujifunza Kingereza, pia lugha zenu za asili mumezitelekeza, madogo wengi hamzijui hata salamu, kazi yenu kuvaa milegezo na kushobokea wasanii mjini mjini, halafu Kiswahili hamtaki kujiboresha, uandishi wenu wa ovyoo, ni janga la taifa lakini kama mbuni mumefukia vichwa vyenu na kuanika maeneo mengine yote.

Watanzania wengi kazini ukiwaomba waandike taarifa/ripoti kwa Kingereza hawawezi, ukiwaagiza basi waandike kwa Kiswahili halafu utatafsiri mwenyewe hapo ndio utashangaa kitu watakachokuandikia, mtu hazingatii alama za uandishi, matumizi sahihi ya misamiati n.k. Kiswahili kibovu hadi kinatia hasira.

Sio kwamba najisifu wala kuwasifu Wakenya kuwa tunajua Kiswahili kuwazidi Watanzania, ila ni kwamba wengi tunapambana kujiboresha kila siku, kuyakubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi, mimi binafsi tangu nikiwa mdogo nilipenda sana kusoma gazeti la Taifa Leo ambalo huandikwa kwa Kiswahili, nia na lengo lilikua kujifunza jinsi ya kutumia hii lugha ipasavyo.
MK254 wewe Lugha yako ya Kiswahili ipo vizuri kwasababu umeishi TZ! Hua sielewi waKenya wakiwa wanakomenti kwa Kiswahili yani hua napendelea waandike kwa English ndo naweza kuelewa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] vijana funi nono round hawapo huku, unajua jina lako hili nikilisoma nakufananisha na Janerose wa TRHK yule
Hehehe kwani huna habari kwamba ndiye huyo Mimi. Ahsante kwa kutazama kipindi chetu. Pia niangalie kwa upcoming movie ' The grace of God'
Na nyingine mwaka ujao Maulana akipenda 'sinners & saints'
 
Huyo asiyejua kiswahili vizuri ni mjinga mjinga toka kenya anaejinadi kufundisha kiswahili SA alafu hakijui icho kiswahili
 
Nilivyosoma tu taarifa hii ndio nikagundua kua wakenya wengi wamepoteza funguo
tapatalk_1558182784970.jpeg
 
Huyo asiyejua kiswahili vizuri ni mjinga mjinga toka kenya anaejinadi kufundisha kiswahili SA alafu hakijui icho kiswahili
Shindeni hapo na viswahili vya rrrrr na zzzzz .Sie tulifundishwa na walimu ambao wamesomea hili somo la kiswahili. Usione tunaandika vibaya ukadhani ndivyo walimu wa Kenya walivyo. Tangu nianze kusoma 20.. hadi 201. nilipoweka kitone cha mwisho karatasi 3 sikuwahi fundishwa na mwalimu asiyejua kiswahili/kuona makosa kama haya yenu kutofautisha |r| na |l| na |dh| z
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hehehe kwani huna habari kwamba ndiye huyo Mimi. Ahsante kwa kutazama kipindi chetu. Pia niangalie kwa upcoming movie ' The grace of God'
Na nyingine mwaka ujao Maulana akipenda 'sinners & saints'
 
MK254 wewe Lugha yako ya Kiswahili ipo vizuri kwasababu umeishi TZ! Hua sielewi waKenya wakiwa wanakomenti kwa Kiswahili yani hua napendelea waandike kwa English ndo naweza kuelewa!
English yenyewe wanaijua basi au mbwembwe tu
 
Shindeni hapo na viswahili vya rrrrr na zzzzz .Sie tulifundishwa na walimu ambao wamesomea hili somo la kiswahili. Usione tunaandika vibaya ukadhani ndivyo walimu wa Kenya walivyo. Tangu nianze kusoma 20.. hadi 201. nilipoweka kitone cha mwisho karatasi 3 sikuwahi fundishwa na mwalimu asiyejua kiswahili/kuona makosa kama haya yenu kutofautisha |r| na |l| na |dh| z
Sitaki kukuwekea wasiwadi juu ya uwezo wako wa kupambanua mambo na kujenga hoja KAMA ni MSOMI kikawaida shida ya matumizi R na L sio kosa la kiufundishajibnintatizo la kibioojia ulimi kushindwa kutamka herusi R na L
 
Back
Top Bottom