Watanzania wengi mnatia huruma kwenye uandishi wa Kiswahili

Watanzania wengi mnatia huruma kwenye uandishi wa Kiswahili

Kuna uzi nilianzisha kuhusu taarifa za Kenya kuingia mkataba na Afrika Kusini ili kuwasaidia kuzindua elimu ya lugha ya Kiswahili kwenye mtaala wao. Kuna Watanzania wametiririka kwa povu za kiajabu huku wakijinadi kwamba wao ndio wamiliki wa hii lugha na hao ndio waliopaswa kualikwa wakaifunze, ila cha kushangaza, hao hao Watanzania ukisoma humo uandishi wao wa Kiswahili unatia huruma na ukihoji wanakuambia hawana haja ya kuzingatia Kiswahili sanifu.

Unakuta mtu anajisifu jinsi alivyoganda kwenye Kiswahili pekee na hataki kujiongeza kwenye lugha nyingine, ila hicho hicho Kiswahili hakitendei haki, anaandika upupu mtupu, Kiswahili kibovu kupita maelezo.

Watanzania mnatia huruma mjue, mnazembea hamtaki kujifunza Kingereza, pia lugha zenu za asili mumezitelekeza, madogo wengi hamzijui hata salamu, kazi yenu kuvaa milegezo na kushobokea wasanii mjini mjini, halafu Kiswahili hamtaki kujiboresha, uandishi wenu wa ovyoo, ni janga la taifa lakini kama mbuni mumefukia vichwa vyenu na kuanika maeneo mengine yote.

Watanzania wengi kazini ukiwaomba waandike taarifa/ripoti kwa Kingereza hawawezi, ukiwaagiza basi waandike kwa Kiswahili halafu utatafsiri mwenyewe hapo ndio utashangaa kitu watakachokuandikia, mtu hazingatii alama za uandishi, matumizi sahihi ya misamiati n.k. Kiswahili kibovu hadi kinatia hasira.

Sio kwamba najisifu wala kuwasifu Wakenya kuwa tunajua Kiswahili kuwazidi Watanzania, ila ni kwamba wengi tunapambana kujiboresha kila siku, kuyakubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi, mimi binafsi tangu nikiwa mdogo nilipenda sana kusoma gazeti la Taifa Leo ambalo huandikwa kwa Kiswahili, nia na lengo lilikua kujifunza jinsi ya kutumia hii lugha ipasavyo.
Nimependa mada yako japo imekaa kichokozi ila yapo ya kweli ulitoyagusia hapo... Ila ukweli ulio uchi ni kuwa watanzania wanakijua kiswahili vizuri zaidi kuliko wakenya lakini Wakenya ni watafutaji (aggressive) sana wa nafasi kuliko watanza... So nyie mnapata sio kwa sababu ya kukijua bali kwa kufosi kingi
 
Una Kiswahili kizuri kweli kama sio mkenya.

Ila ni ukweli usiopingika kuwa lugha ni tatizo kwetu watanzania wengi. Kiingereza hatujui,lugha zetu za kikabila hatujui lakini pia kishwahili ni changamoto kuanzia kuzungumza hadi kuandika.
 
Sitaki kukuwekea wasiwadi juu ya uwezo wako wa kupambanua mambo na kujenga hoja KAMA ni MSOMI kikawaida shida ya matumizi R na L sio kosa la kiufundishajibnintatizo la kibioojia ulimi kushindwa kutamka herusi R na L
Naelewa hilo vizuri sana. Hata Kenya watu wana shida ya matamshi. Binafsi sijawahi zungumza kiswahili maana kutamka maneno ni shida.
Tatizo nyie mnaandika tu vile mnavyozungumza.
Shure badala ya shule
Tafazari ----tafadhali
Burret tlain - bullet train
e.t.c
 
Hebu pitia kwanza blog zenu uone kama mnastairi kualikwa huko south afrika kufundisha kiswahili
 
Kuna uzi nilianzisha kuhusu taarifa za Kenya kuingia mkataba na Afrika Kusini ili kuwasaidia kuzindua elimu ya lugha ya Kiswahili kwenye mtaala wao. Kuna Watanzania wametiririka kwa povu za kiajabu huku wakijinadi kwamba wao ndio wamiliki wa hii lugha na hao ndio waliopaswa kualikwa wakaifunze, ila cha kushangaza, hao hao Watanzania ukisoma humo uandishi wao wa Kiswahili unatia huruma na ukihoji wanakuambia hawana haja ya kuzingatia Kiswahili sanifu.

Unakuta mtu anajisifu jinsi alivyoganda kwenye Kiswahili pekee na hataki kujiongeza kwenye lugha nyingine, ila hicho hicho Kiswahili hakitendei haki, anaandika upupu mtupu, Kiswahili kibovu kupita maelezo.

Watanzania mnatia huruma mjue, mnazembea hamtaki kujifunza Kingereza, pia lugha zenu za asili mumezitelekeza, madogo wengi hamzijui hata salamu, kazi yenu kuvaa milegezo na kushobokea wasanii mjini mjini, halafu Kiswahili hamtaki kujiboresha, uandishi wenu wa ovyoo, ni janga la taifa lakini kama mbuni mumefukia vichwa vyenu na kuanika maeneo mengine yote.

Watanzania wengi kazini ukiwaomba waandike taarifa/ripoti kwa Kingereza hawawezi, ukiwaagiza basi waandike kwa Kiswahili halafu utatafsiri mwenyewe hapo ndio utashangaa kitu watakachokuandikia, mtu hazingatii alama za uandishi, matumizi sahihi ya misamiati n.k. Kiswahili kibovu hadi kinatia hasira.

Sio kwamba najisifu wala kuwasifu Wakenya kuwa tunajua Kiswahili kuwazidi Watanzania, ila ni kwamba wengi tunapambana kujiboresha kila siku, kuyakubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi, mimi binafsi tangu nikiwa mdogo nilipenda sana kusoma gazeti la Taifa Leo ambalo huandikwa kwa Kiswahili, nia na lengo lilikua kujifunza jinsi ya kutumia hii lugha ipasavyo.

Nilivyosoma kwa makini na kutafakari hizi aya zako, najiuliza kuhusu kiwango cha elimu cha watu unaokutana nao. Maana haingii akilini mhitimu wa ngazi ya shahada au stashahada ashindwe kuandika taarifa rasmi na kwa ufasaha kwa lugha adhimu ya kiswahili achia mbali lugha ya kiingereza.
 
Vijana wadogo wengi wa kitanzania wana tatizo kubwa la lugha ya kiswahili.

Umeongea ukweli kuhusu lugha.

Naona hata vijana wadogo wa kikenya kiswahili chao ni kibaya.
 
Kumbe mtoa mada ni mk 254 mental disability.Acha wenye akili kama zako waje.
 
Shindeni hapo na viswahili vya rrrrr na zzzzz .Sie tulifundishwa na walimu ambao wamesomea hili somo la kiswahili. Usione tunaandika vibaya ukadhani ndivyo walimu wa Kenya walivyo. Tangu nianze kusoma 20.. hadi 201. nilipoweka kitone cha mwisho karatasi 3 sikuwahi fundishwa na mwalimu asiyejua kiswahili/kuona makosa kama haya yenu kutofautisha |r| na |l| na |dh| z
Ila Jeni Kiswahili generally tunawapita.....

Japo tuna shida ya R na L sana,ila aisee hapa kwa Kiswahili nyie mna matatizo mengi zaidi

Mother tongues zinasumbua kotekote ila kwenye hasa Kenya interior ni balaa zaidi.

Itoe Mombasa kabisa,wapo elite level za Zanzibar na Dar-es-Salaam.

Hapa kiukweli kabisa,Kenya tumewaacha parefu!
 
Hiyo ni lugha ya mtaani baina ya vijana, hata mimi niliitumia sana enzi zangu nikiwa kijana, nilikua nazungumza shen'g hadi basi, hata leo mtaani huwa nataniana na vijana wakiwemo wanangu kwa matumizi ya hiyo lugha, lakini pamoja na hayo ni kwamba huyo mtu ukimuagiza aandike taarifa/ripoti kwa Kiswahili au Kingereza, utafurahia uandishi wake ulionyooka.

Hapa Kenya tunatumia lugha nyingi, mwanangu hapa anapiga Kiswahili, Kingereza, Sheng, Kikikuyu, na Kiluhya kwa kiasi, na pia shuleni wanajifunza Kifaransa, hii inachangia uwezo wa kupanua ubongo na matumizi yake sio kuishi kama zezeta.
Nakataa hakuna mkenya anaeweza andika kiswahili sanifu kwa usahihi kabisa . Nakataa nakataa hata Kenyatta tu na Ruto no shida hata hata ongea zao .

Wewe mwenyewe huo uandishi wako na hio lafudhi yako umeipata baada ya kukaa bongo kama sio kutembelea bongo sana .

Ushahidi upo hapa wakenya wenzako wanaandika pumba tu humu .

Hahahahahah MK254 unachekesha
 
Hamna sehemu nimejisifia kukijua Kiswahili zaidi ya Watanzania, nimesema huwa napambana kujiboresha kila siku narekebisha mapungufu yangu, ila nyie mpo mpo tu, hamtaki kujiongeza wala kukosolewa.
Sasa sisi tumezaliwa nacho turekebishe wapi hahahah
 
Kufikiri kuwa ni lazima kutumia lugha fasaha kila sehemu nao ni ujinga, et maandiko ya jf yanakufanya uhitimishe kuwa watz hawajui kiswahili, ongea uongeavyo lakin usilinganishe kiswahili kibovu cha kenya na cha TZ, mnaweza kutushinda kwenye vitu vingi lakini kwa lugha ya kiswahili mtasubiri sana mkuu, nafasi mliyopata ni kwa sababu tu viongozi wetu wamefeli katika kupambania fursa nje ya mipaka yetu wapo wanapambana na upinzani
 
Kufikiri kuwa ni lazima kutumia lugha fasaha kila sehemu nao ni ujinga, et maandiko ya jf yanakufanya uhitimishe kuwa watz hawajui kiswahili, ongea uongeavyo lakin usilinganishe kiswahili kibovu cha kenya na cha TZ, mnaweza kutushinda kwenye vitu vingi lakini kwa lugha ya kiswahili mtasubiri sana mkuu, nafasi mliyopata ni kwa sababu tu viongozi wetu wamefeli katika kupambania fursa nje ya mipaka yetu wapo wanapambana na upinzani
Poleni
 
Jeni niaje?

Uko poa?
I am fine. Thank you.
Ila Jeni Kiswahili generally tunawapita.....

Japo tuna shida ya R na L sana,ila aisee hapa kwa Kiswahili nyie mna matatizo mengi zaidi

Mother tongues zinasumbua kotekote ila kwenye hasa Kenya interior ni balaa zaidi.

Itoe Mombasa kabisa,wapo elite level za Zanzibar na Dar-es-Salaam.

Hapa kiukweli kabisa,Kenya tumewaacha parefu!
Hili nalo halina ubishi. Watanzania wanajua kiswahili kuliko wakenya. Lakini kiswahili kinachofundishwa Kenya ni kama hiki chenu tofauti ni kuwa walimu wa tzedi hawajui kutofautisha r na l.
Wakenya hawazingatii ngeli wanapoongea kama nyie.
Kitabu yangu badala ya kitabu changu
 
Mim hapo tu kwenye kufukia kichwa na kuacha sehem zingine ndo pamenikwaza
 
Kuna uzi nilianzisha kuhusu taarifa za Kenya kuingia mkataba na Afrika Kusini ili kuwasaidia kuzindua elimu ya lugha ya Kiswahili kwenye mtaala wao. Kuna Watanzania wametiririka kwa povu za kiajabu huku wakijinadi kwamba wao ndio wamiliki wa hii lugha na hao ndio waliopaswa kualikwa wakaifunze, ila cha kushangaza, hao hao Watanzania ukisoma humo uandishi wao wa Kiswahili unatia huruma na ukihoji wanakuambia hawana haja ya kuzingatia Kiswahili sanifu.

Unakuta mtu anajisifu jinsi alivyoganda kwenye Kiswahili pekee na hataki kujiongeza kwenye lugha nyingine, ila hicho hicho Kiswahili hakitendei haki, anaandika upupu mtupu, Kiswahili kibovu kupita maelezo.

Watanzania mnatia huruma mjue, mnazembea hamtaki kujifunza Kingereza, pia lugha zenu za asili mumezitelekeza, madogo wengi hamzijui hata salamu, kazi yenu kuvaa milegezo na kushobokea wasanii mjini mjini, halafu Kiswahili hamtaki kujiboresha, uandishi wenu wa ovyoo, ni janga la taifa lakini kama mbuni mumefukia vichwa vyenu na kuanika maeneo mengine yote.

Watanzania wengi kazini ukiwaomba waandike taarifa/ripoti kwa Kingereza hawawezi, ukiwaagiza basi waandike kwa Kiswahili halafu utatafsiri mwenyewe hapo ndio utashangaa kitu watakachokuandikia, mtu hazingatii alama za uandishi, matumizi sahihi ya misamiati n.k. Kiswahili kibovu hadi kinatia hasira.

Sio kwamba najisifu wala kuwasifu Wakenya kuwa tunajua Kiswahili kuwazidi Watanzania, ila ni kwamba wengi tunapambana kujiboresha kila siku, kuyakubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi, mimi binafsi tangu nikiwa mdogo nilipenda sana kusoma gazeti la Taifa Leo ambalo huandikwa kwa Kiswahili, nia na lengo lilikua kujifunza jinsi ya kutumia hii lugha ipasavyo.
Unajua maana ya kituko?? ulichoandika ni maana halisi ya kituko
 
Back
Top Bottom