Watanzania wengi ni walala hoi wanajifariji na mitandao

Watanzania wengi ni walala hoi wanajifariji na mitandao

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Kitaa sio safi!

kuna muda hauwezi kuyaondoa machungu kwa kulia bali inahitaji busara ya kujitia upofu wa kuyaona machungu yako,unaweza ukalia ila yakawa ya samaki na remi ongala.

Sisi watanzania wengi wetu ni makapuku mfuko mmoja wa suruali ni mzima ila mwengine ni mbovu,unashinda masikani kulala nyumbani, kila muda unagombezana na madogo zako, hali si shwari mtandao ni mkombozi pekee ila usijisahau mwisho utabaki mpweke kucheka na kupoteza muda kwa simu yako kuna gharimu maisha yako, bando la buku lisaa limekata unaomba na kupiga vizinga unaingia hewani baadae unaenda kukomenti umbeya na kuwasema waliofanikiwa.

Ndiyo maisha ya kujifariji
 
Jinsi matajiri wa JF wanavyousoma huu uzi

1000010756.jpg
 
Kitaa sio safi!

kuna muda hauwezi kuyaondoa machungu kwa kulia bali inahitaji busara ya kujitia upofu wa kuyaona machungu yako,unaweza ukalia ila yakawa ya samaki na remi ongala.

Sisi watanzania wengi wetu ni makapuku mfuko mmoja wa suruali ni mzima ila mwengine ni mbovu,unashinda masikani kulala nyumbani, kila muda unagombezana na madogo zako, hali si shwari mtandao ni mkombozi pekee ila usijisahau mwisho utabaki mpweke kucheka na kupoteza muda kwa simu yako kuna gharimu maisha yako, bando la buku lisaa limekata unaomba na kupiga vizinga unaingia hewani baadae unaenda kukomenti umbeya na kuwasema waliofanikiwa.

Ndiyo maisha ya kujifariji
Kama hapa tumerudi kuja kuchapa umbea kwako mtandaoni
 
Kitaa sio safi!

kuna muda hauwezi kuyaondoa machungu kwa kulia bali inahitaji busara ya kujitia upofu wa kuyaona machungu yako,unaweza ukalia ila yakawa ya samaki na remi ongala.

Sisi watanzania wengi wetu ni makapuku mfuko mmoja wa suruali ni mzima ila mwengine ni mbovu,unashinda masikani kulala nyumbani, kila muda unagombezana na madogo zako, hali si shwari mtandao ni mkombozi pekee ila usijisahau mwisho utabaki mpweke kucheka na kupoteza muda kwa simu yako kuna gharimu maisha yako, bando la buku lisaa limekata unaomba na kupiga vizinga unaingia hewani baadae unaenda kukomenti umbeya na kuwasema waliofanikiwa.

Ndiyo maisha ya kujifariji
nchi imechoka maisha magumu watu wanakula mlo mmoja kwa siku lakini wamo tu , kwakweli ni bora uwe na chakula kwenye vita kuliko amani uchwara kwenye njaa, watu wamechoka sana maisha magumu mafuta bei ghali vyakula ndio usiseme wakati huku ulaya wenzetu wanatupia mifugo vyakula , sijui huko tuna laana gani.
 
nchi imechoka maisha magumu watu wanakula mlo mmoja kwa siku lakini wamo tu , kwakweli ni bora uwe na chakula kwenye vita kuliko amani uchwara kwenye njaa, watu wamechoka sana maisha magumu mafuta bei ghali vyakula ndio usiseme wakati huku ulaya wenzetu wanatupia mifugo vyakula , sijui huko tuna laana gani.
Hatuna laana ni akili tu hamnazo
 
Back
Top Bottom