TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Kiukweli zama zimebadilika sana, kwa sasa Watanzania wengi tunaishi kwa kutegenea mikeka.
Wanaume majumbani kwetu ndio usiseme, wife ukiona anakuzonga zonga unamwambia kuna mchongo huo naufukuzia ukitiki tu mambo yatakuwa poa kumbe mtu mzima una mkeka wako wa siri unangoja Odds ziteme.
Vijana wahitimu wa vyuo wanalialia tu mkeka wa Tamisemi ndio tumaini lao, Mkeka wenyewe ngumu kumeza umeweka timu kibao unangoja utiki.
Wakati vijana wengine wao nao hawana matumaini zaidi ya kungoja mkeka wa teuzi kelele nyingi mitandaoni kuliko kazi. Tofauti sana na zamani.
Sijuhi kwanini tumefikia hapa
Kiukweli zama zimebadilika sana, kwa sasa Watanzania wengi tunaishi kwa kutegenea mikeka.
Wanaume majumbani kwetu ndio usiseme, wife ukiona anakuzonga zonga unamwambia kuna mchongo huo naufukuzia ukitiki tu mambo yatakuwa poa kumbe mtu mzima una mkeka wako wa siri unangoja Odds ziteme.
Vijana wahitimu wa vyuo wanalialia tu mkeka wa Tamisemi ndio tumaini lao, Mkeka wenyewe ngumu kumeza umeweka timu kibao unangoja utiki.
Wakati vijana wengine wao nao hawana matumaini zaidi ya kungoja mkeka wa teuzi kelele nyingi mitandaoni kuliko kazi. Tofauti sana na zamani.
Sijuhi kwanini tumefikia hapa