Watanzania wengi wafupi mno

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Kwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38.

Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu.

Ila kusema ukweli watanzania wengi wafupi mno kwa kweli. Nadhani kuna haja ya kulitazama hili swala kwa jicho la tatu, kwa mstakabali wa mwendelezo wa kizazi chetu.

Ikiwezekana mashuleni kwenye mambo ya genetics basi wanafunzi wafundishe hata unapotaka kuchagua mwenza basi hakikisha angalau unachagua yule mnaepisha kimo ili angalau kutokomoza tatizo la ufupi.

Kwa sababu nimegundua pia inachangiwa pia unakuta mtu mfupi then anaoa mfupi mwenzie.

Inashangaza mimi naonekana mrefu wakati ukienda maeneo mengine mimi ni wakawaida tu. Sijabahatika kufika nchi za wenzetu hasa Ulaya, lakini hawa wote ninaowaonaga hapa kwetu wengi ni wana vimo vya kuridhisha sana. Yaani hata mimi nikikaa katikati yao naonekana wa kawaida tu. Ukiangalia hata hapa Afrika mashariki wenzetu kuna unafuu aisee.

Nb: Samahanini kwa wale warefu kwenda chini kama nitakuwa nimewakwaza.

[emoji2398]Troublemaker 2019. All right reserved
 
[emoji3][emoji3][emoji3]hujalala tu

Yaani ni tabu lakini sasa itakuwaje nchi inaendelea kuwa na jamii ya watu wengi wafupi mkuu
Kama mtu mfupi kampenda mfupi mwenzake anasaidiwaje huyo?

#nooffence...hakunaga kazi ngumu kama kudeal na mtu mfupi...ni heri waowane/tuowane wenyewe kwa wenyewe tu

[emoji2398]troublemaker 2019. all right reserved
 
[emoji3][emoji3][emoji3]hujalala tu

Yaani ni tabu lakini sasa itakuwaje mkuu

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.

Hata dalili ya kulala sina 😂

Itabidi tupambane tu na mbegu mpya zinazokuja...ziwe fupi ama ndefu

Halafu uzuri watu wafupi nasikia hawazeeki kizembe zembe...hiyo ni faida pia kwa taifa letu 🤔🤔
 
Aaah kuzeeka kuzeeka tu. Ni jinsi unavyojitunza.
Hata dalili ya kulala sina [emoji23]

Itabidi tupambane tu na mbegu mpya zinazokuja...ziwe fupi ama ndefu

Halafu uzuri watu wafupi nasikia hawazeeki kizembe zembe...hiyo ni faida pia kwa taifa letu [emoji848][emoji848]

[emoji2398]troublemaker 2019. all right reserved.
 
Tatizo wanawake hasa nyie warefu hampendi kuolewa na wanaume wafupi. Na wanawake wafupi wanapenda wanaume warefu.

Acheni kuwatenga, nyie ndio mnasababisha wanaume wafupi kuoa wafupi wenzao japo kiukweli huwa hawapendi.
Hata dalili ya kulala sina [emoji23]

Itabidi tupambane tu na mbegu mpya zinazokuja...ziwe fupi ama ndefu

Halafu uzuri watu wafupi nasikia hawazeeki kizembe zembe...hiyo ni faida pia kwa taifa letu [emoji848][emoji848]

[emoji2398]troublemaker 2019. all right reserved.
 
Kama mtu mfupi kampenda mfupi mwenzake anasaidiwaje huyo?

#nooffence...hakunaga kazi ngumu kama kudeal na mtu mfupi...ni heri waowane/tuowane wenyewe kwa wenyewe tu
[emoji23] [emoji23]
Aisee, wafupi tunateseka sana wallah.
Ila ngoja nikuibie siri kidogo, utafiti unaonesha ndoa za watu wafupi kwa kiasi kikubwa hufanikiwa kutimiza ahadi ya "mpaka kifo kitutenganishe"

Hata Adam na Hawa walikua wafupi[emoji40]
 
Huwa hawajiamini hasa wanaume mara zote huisi wao wanadharauliwa, Wanatafuta nafasi ya kuonyesha uwepo wao kwa nguvu[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wafupi huwa wakorofi nimesikia lakini sisi watanzania ni wapole sana. Hata ccm inaliju hili


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]

[emoji2398]troublemaker 2019. all right reserved.
 

Mimi sio mrefu na sio mfupi ... ila ndio sijawahi kubahatika kupenda mfupi ila sio kama nawatenga

Ni moyo tu haujawahi kupenda huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…