Watanzania wengi wafupi mno

Watanzania wengi wafupi mno

Duuuh mkuu, umeua[emoji3][emoji3][emoji3] eti watu wadogo wadog wasiolingana vimo.
Labda niseme ufupi sio shida SHIDA ni IQ ,mbona wenzetu wachina na wajapani na ndugu zao wafilipino na wakorea ni wafupi lkn mambo yao yako poa?
Cha muhimu hapa nikuacha kung’ang’ania “Staple food “ambazo wataalamu wanasema zinadumaza Akili,watu wamekalia kudanganyana eti Dona dona ndio kila kitu kumbe ndani yake kuna sumukuvu,wenzetu nchi zinazoongoza kwa Mi IQ mahindi na ndugu yake Mihogo ni chakula cha mifugo na kama vitatumika ni kwa Kiasi kidogo tu!
Kwa taarifa hakuna gene ya Ufupu kwa watanzania ni KUDUMAA wazungu wanaita “Stunting”kwa wale waliopata Bahati ya kusoma Nutrition watanielewa ni baadhi ya makabila machache Tz hasa ya ukanda wa pwani kusini ndio kuna specimen ndogo ndogo other wise tunachokiface ni malnutrition yaani ukuaji wetu wa kimo kwa umri hauko sahihi.ukitaka (Ku prove mchukue kijana wa miaka let’s say 15 ambaye bado hajamaliza kukua lkn pia ameshaonyesha atakuwa kiasi gani mpeleke Marekani baada ya miaka 3 arudi kusalimia bongo hapo ndio utajua hakuna mfupi Bongo)
Mwisho,kuna mtu alikuwa ana describe jinsi ya kujua umefika bongo akasema ukishuka tu Airport utakuta watu wadogo wadogo wasiolingana vimo kwakweli iliniuma sana,kwakweli imefika wakati wa kutokomeza hii mbegu Acha na sisi tukue kwenye kimo chetu Mungu alichotupangia tule moo sahihi tuache tabia ya kula ili tuishi ,tufanye kazi tuinue uchumi ili uwezo wa kula mlo sahihi uwepo
Angalizo chakula bora sio chips Mayai kama most of us tunavyofikiri[emoji16][emoji16][emoji4][emoji4][emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji767]troublemaker 2019. all right reserved.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] wewe mtu mfupi wa Tanzania umebuni nini. [emoji3]Acha ubishi fanya mpango kizazi chako kijacho kipande kimo aiseeh ufupi unaboa, sidhani kama unaupendelea.
Wachina ni wafupi na wana maelfu ya innovations wewe mrefu ukute hata kubuni kiwanda cha magufuli umeshindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji767]troublemaker 2019. all right received.
 
Mimi sidahni kama ufupi ni asili yetu aisee. Ndio mana kuna wengine warefu pia.

Naona wengi mnatolea mifano watu wa asia hasa china, lakini unakuta karibu wotee wale vimo vinalingana, so ufupi ni asili yao.

[emoji767]troublemaker 2019. all right reserved.
 
Mimi sidahni kama ufupi ni asili yetu aisee. Ndio mana kuna wengine warefu pia.

Naona wengi mnatolea mifano watu wa asia hasa china, lakini unakuta karibu wotee wale vimo vinalingana, so ufupi ni asili yao.

[emoji767]troublemaker 2019. all right received.
Hapa Tanzania ukianzia Tanga kwenda morogoro na sehem za uparen, asili yao ni wafupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo wengi wafupi sana hadi wanatia huruma. Tatizo lishe duni kwenye makuzi yao halafu wanapenda sana chips mayai ya kisasa ndiyo maana wanarefuka kwenda chini.
 
Kwanza Hongereni kwa kufanikiwa kufuzu AFCON mwaka huu baada takribani ya miaka 38.

Pil tu niwe muwazi mimi ni mmoja ya wale tuliopata bahati ya kuwa warefu.
Ila kusema ukweli watanzania wengi wafupi mno kwa kweli. Nadhani kuna haja ya kulitazama hili swala kwa jicho la tatu, kwa mstakabali wa mwendelezo wa kizazi chetu. Ikiwezekana mashuleni kwenye mambo ya genetics basi wanafunzi wafundishe hata unapotaka kuchagua mwenza basi hakikisha angalau unachagua yule mnaepisha kimo ili angalau kutokomoza tatizo la ufupi.
Kwa sababu nimegundua pia inachangiwa pia unakuta mtu mfupi then anaoa mfupi mwenzia.
Inashangaza mimi naonekana mrefu wakati ukienda maeneo mengine mimi ni wakawaida tu. Sijabahatika kufika nchi za wenzetu hasa ulaya, lakini hawa wote ninaowaonaga hapa kwetu wengi ni wana vimo vya kuridhisha sana. Yaani hata mimi nikikaa katikati yao naonekana wa kawaida tu. Ukiangalia hata hapa Afrika mashariki wenzetu kuna unafuu aisee.

Nb:samahanini kwa wale warefu kwenda chini kama nitakuwa nimewakwaza.

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Mimi ni mfupi,sasa urefu unatija gani kwenye nyanja kama biashara,elimu,sanaaa,dini,sayansi!?
Jide,Mzee Mengi,Zito Kabwe,Diamond,Bakhressa,Dangote,Prof Shivji,Prof Chachage,hawa ni warefu au wafupi?
RAIA wa China,Japan,Malaysia,ni warefu au wafupi?
Sasa wewe urefu wako,umekusaidia nini,?kwenye mpira wa kikapu upo?maana Hata Hashim Thabit,anayekuzidi urefu,hasikiki siku hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufupi ni udumavu kama sio ulemavu, lishe mbovu ni chanzo kwa sehemu kubwa... tunaona kawaida kwa vile wengi ni mbili_kimo.

Enzi za utoto unajikuta mrefu darasani uko mwenyewe au wawili, unakuwa unataniwa huna amani unajiona we ndo mlemavu.... unaanza kuinainama ili ulingane na wenzio mwisho mgongo unapinda aaarrgh...!!

Usile Mbegu.
 
Nipe hasara angalau 5 za nchi kuwa na watu wafupi.Ukija na mifano halisi ya nchi zenye watu wafupi halafu hasara zilizopo kwa nchi hizo.
Sorry mkuu kama na wewe ni mfupi, muhimu usije oa mfupi mwenzio. Unaweza kujikuta ukoo wenu wote unaendelea kuwa na kizazi cha watu wafupi.

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
 
Ngoja kwanza,
Ufupi huo wa wapi? wa juu au wa chini?!
 
Back
Top Bottom