Watanzania wengi wafupi mno

Duuuh mkuu, umeua[emoji3][emoji3][emoji3] eti watu wadogo wadog wasiolingana vimo.
[emoji767]troublemaker 2019. all right reserved.
 
[emoji3][emoji3][emoji3] wewe mtu mfupi wa Tanzania umebuni nini. [emoji3]Acha ubishi fanya mpango kizazi chako kijacho kipande kimo aiseeh ufupi unaboa, sidhani kama unaupendelea.
Wachina ni wafupi na wana maelfu ya innovations wewe mrefu ukute hata kubuni kiwanda cha magufuli umeshindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji767]troublemaker 2019. all right received.
 
Mimi sidahni kama ufupi ni asili yetu aisee. Ndio mana kuna wengine warefu pia.

Naona wengi mnatolea mifano watu wa asia hasa china, lakini unakuta karibu wotee wale vimo vinalingana, so ufupi ni asili yao.

[emoji767]troublemaker 2019. all right reserved.
 
Hapa Tanzania ukianzia Tanga kwenda morogoro na sehem za uparen, asili yao ni wafupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo wengi wafupi sana hadi wanatia huruma. Tatizo lishe duni kwenye makuzi yao halafu wanapenda sana chips mayai ya kisasa ndiyo maana wanarefuka kwenda chini.
 
Mimi ni mfupi,sasa urefu unatija gani kwenye nyanja kama biashara,elimu,sanaaa,dini,sayansi!?
Jide,Mzee Mengi,Zito Kabwe,Diamond,Bakhressa,Dangote,Prof Shivji,Prof Chachage,hawa ni warefu au wafupi?
RAIA wa China,Japan,Malaysia,ni warefu au wafupi?
Sasa wewe urefu wako,umekusaidia nini,?kwenye mpira wa kikapu upo?maana Hata Hashim Thabit,anayekuzidi urefu,hasikiki siku hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufupi ni udumavu kama sio ulemavu, lishe mbovu ni chanzo kwa sehemu kubwa... tunaona kawaida kwa vile wengi ni mbili_kimo.

Enzi za utoto unajikuta mrefu darasani uko mwenyewe au wawili, unakuwa unataniwa huna amani unajiona we ndo mlemavu.... unaanza kuinainama ili ulingane na wenzio mwisho mgongo unapinda aaarrgh...!!

Usile Mbegu.
 
Nipe hasara angalau 5 za nchi kuwa na watu wafupi.Ukija na mifano halisi ya nchi zenye watu wafupi halafu hasara zilizopo kwa nchi hizo.
Sorry mkuu kama na wewe ni mfupi, muhimu usije oa mfupi mwenzio. Unaweza kujikuta ukoo wenu wote unaendelea kuwa na kizazi cha watu wafupi.

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
 
Ngoja kwanza,
Ufupi huo wa wapi? wa juu au wa chini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…