Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Tezi dume inapimwa kwa kuingizwa kidole,unadhani waliopimwa waliandika barua ya maombi ili waingiziwe hivyo vidole???
Upeo mdogo wa kufikiri unaupimaje??wakati wa dharula!!!hivi gari ikikata break mteremkoni inahitaji dereva mwenye upeo kiasi gani kutopindua gari??jibu kwa rejea ya udereva wa keybod😄sio barabarani zingatia.
ndio sababu nikaandika ni matatizo hufanya watu kukosa utulivu mpaka kufanya mambo ambayo sio ya kawaida kabisa.
Wewe unajua matatizo ya wanawake mkuu🤭🤭,au tunapiga tu soga hapa!!!!
Haaya mkuu.
😀😀
Mkuu Sasa tezi dume, kwani hujui tofauti ya kidole na uume?
Unajaribu kunishawishi lakini Bado mkuu