Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Tezi dume inapimwa kwa kuingizwa kidole,unadhani waliopimwa waliandika barua ya maombi ili waingiziwe hivyo vidole???
Upeo mdogo wa kufikiri unaupimaje??wakati wa dharula!!!hivi gari ikikata break mteremkoni inahitaji dereva mwenye upeo kiasi gani kutopindua gari??jibu kwa rejea ya udereva wa keybod😄sio barabarani zingatia.
ndio sababu nikaandika ni matatizo hufanya watu kukosa utulivu mpaka kufanya mambo ambayo sio ya kawaida kabisa.
Wewe unajua matatizo ya wanawake mkuu🤭🤭,au tunapiga tu soga hapa!!!!
Haaya mkuu.
Yote ni mambo ambayo huwezi kubali kufanyiwa ukiwa huna shida yoyote,ukimruhusu mtu aingize kidole ameweka uume tayari isipokuwa hakukojoa😁😀😀
Mkuu Sasa tezi dume, kwani hujui tofauti ya kidole na uume?
Unajaribu kunishawishi lakini Bado mkuu
Yote ni mambo ambayo huwezi kubali kufanyiwa ukiwa huna shida yoyote,ukimruhusu mtu aingize kidole ameweka uume tayari isipokuwa hakukojoa😁
Umejuaje katika watu wote waliyokunywa kikombe hakuna aliyepona? Ulifanya vp utafiti na kuhitimisha hivyo?Babu wa loliondo aliletwa na serikali ili kuziba pengo la mgomo wa madakitari.
Hakuna MTU yeyote aliyepona baada ya kunywa kikombe .
Mazingira yanachangia mkuu, mfano mtu anayeishi ulaya huko anaweza kusema hakuna uchawi kutokana mazingira anayoishi yalivyo watu hawajihusishi na hayo mambo na hivyo visa vyenye kuhusishwa na uchawi ni vidogo mno, lakini mazingira ya afrika kuna visa vingi vyenye kuhusishwa na uchawi kiasi kwamba hata tukisema hakuna uchawi itabaki kazi ya kuvielezea hivyo visa vyenye kuhusishwa na uchawi kuwa si uchawi bali ni nini?Ukweli ni Ukweli siku zote. Ukweli hauangalii mazingira labda kama hujui maana ya Ukweli.
Sawa naendelea kukua, nawe endelea kukua katika Ukweli