Watanzania wengi wanaamini adui yao mkuu alikuwa ni Sabaya. Wamefurahi wameridhika Maisha yanaendelea. Adui Mkuu anatabasamu tu

Bado tunaamini tatizo letu kubwa ni Sabaya na aliyekuwa Makonda. Wanasiasa watazidi kunawiri na kutuua pale tunapohatarisha vyeo vyao. Sababu hatuna akili.
Hapana, Sabaya na Makonda ni mbwa tu, mwenye mbwa ndiye alikuwa tatizo letu kubwa na kwa kuwa malipo ni hapa hapa, yeye tayari yuko pahala stahili. Mbwa kwa bahati wanaweza kupata bwana mwingine wakaendelea kubweka kama wewe Chizi Maarifa unavyobweka na kunawiri lakini siku zote watabaki mbwa tu.
 
Utasononeka mpaka siku unaingia kaburini mbwa wewe
 
Yaani wewe umebakiza akili ya kuendea choloni tu! Unayaangalia maisha katika wigo mfinyu sana sana sana!!, Nyau wewe!
 
Hujaguswa na hawa makima
That's y unaongea tu.
imagine your relative be it a wife, son/daughter akamatwe apotee.... ungekuja na story tofaut na hii utopolo1
Ok ndugu yako amepotea sijui mke wako!!ndio inaumiza sana,je kuondolewa kwenye cheo uyo aliekuumiza ndio solution!!! Mleta uzi kaandika vizuri tu,kama haki isipotendeka na ikaonekana,atakuja mwingine ataumiza tena watu na kutia watu ulemavu, atatolewa na maisha yataendelea, CCM wanaelewa akili za watanzania usitegemee hata siku moja,watakuja kuwatendea haki!!
 
Wabongo wepesi sana, bado sana yani, imagine hadi watu wanaweka status picha ya jamaa akimlilia mwendazake, wengine wanataka rc wa Mbeya aondolewe, wafurahie zaidi. Hovyo kweli kweli
Ni kikundi tu cha watu fulani fulani wanaharakati pamoja na wale waarusha na kilimankyaro
 
Nakazia hapo hapo,watanzania wengi hawajielewi na ni wabinafsi,ni kweli kabisa,na kwa maelezo yako haya yanaonyesha wazi jinsi ulivyo mbinafsi,kwakuwa watu wanaoumizwa huna undugu au hawakugusi kwa namna moja au nyingine basi unaona ni kawaida tu!!wanastahili hayo yanayowapata.
Ubinafsi,kutojielewa,na ujinga ndio imetufanya watanzania tuwe kama tulivyo leo hapa,watu wanasaini mikataba mibovu madamu wao kuna kitu wanafaidi,watu wana hujumu miradi ya kimaendeleo madamu wao kuna kitu wanapata,watu wanavunja sheria ili mradi maslahi yao yawe salama!!
Yote hayo watanzania wako kimya!!! Kwanini tusiseme watanzania hatujielewi?!!
 
Watu wanademka na kucheza ngoma wasiyoijua ukweli kina Sabaya walitumika na waliowatuma wapo wametulia, wameamua kuwatosa sababu sasa hivi hawana haja nao tena ila watawaibua wengine kadri wanavyoona wanafaa
 
Unaambiwa arusha na hai tangu juzi kuna uhaba mkubwa sana wa bia zimeadimika
 
Binafsi sishangai kwanini watu wanakimbilia sana kwenye siasa na kuamini kuwa ndio ajira pekee inayoweza kukufanya ukawa bilionea.
Yote haya nikutokana kwamba wamezisoma akili zetu na ndio maana wapo radhi kuua, kuteka na kufanya lolote lile kwa maslahi yakwao binafsi.
Haiingii akilini kuona wabunge wanajadiri swala la kulipa kodi kizarendo wakati wao wanapata mishahara minono bila kukatwa Kodi alafu watanzania tunayafumbia macho maswala kama haya.
 
UVCCM ndio mnajifariji, SABAYA alikuwa adui wa wachagaa wote, kama baba yake mwendazake alivyochukia wachagga.
ADUI WA WOTE ni utawala uliopita kwa ujumla wake ukiongozwa na MAHERA, TUME YA UCHAGUZI NA JESHI LA POO-LYISYI
 
Malezi au pengine eneo ulilokulia na elimu ndo ntakavolaumu. Ungekuwa na hayo mema ungeelewa hata kilichoandikwa lakini sababu ya ukosefu umekuja andika ulichoandika. Siwezi kukulaumu. Wewe na Sabaya hamna tofauti. Tofaut kubwa wewe ni maskini na huna cheo. Yeye alikuwa na cheo. Lakini naye aliamini wenzie ni mbwa yeye ndo binadamu. 😁
 
Yaani wewe umebakiza akili ya kuendea choloni tu! Unayaangalia maisha katika wigo mfinyu sana sana sana!!, Nyau wewe!
Malezi au pengine eneo ulilokulia na elimu ndo ntakavolaumu. Ungekuwa na hayo mema ungeelewa hata kilichoandikwa lakini sababu ya ukosefu umekuja andika ulichoandika. Siwezi kukulaumu. Wewe na Sabaya hamna tofauti. Tofaut kubwa wewe ni maskini na huna cheo. Yeye alikuwa na cheo. Lakini naye aliamini wenzie ni nyau yeye ndo binadamu
 
Utasononeka mpaka siku unaingia kaburini mbwa wewe
Malezi au pengine eneo ulilokulia na elimu ndo ntakavolaumu. Ungekuwa na hayo mema ungeelewa hata kilichoandikwa lakini sababu ya ukosefu umekuja andika ulichoandika. Siwezi kukulaumu. Wewe na Sabaya hamna tofauti. Tofaut kubwa wewe ni maskini na huna cheo. Yeye alikuwa na cheo. Lakini naye aliamini wenzie ni mbwa yeye ndo binadamu
 
Hii hoja vilaza wengi hawajaielewa. Na ndo maana wengi unawaona wanajibu kwa mihemko. Upo sahihi kabisa na hayo watanzania hayawashtui. Wanaona ni sawa. Eti walipe kodi ya uzalendo huku wabunge wananeemeka tu
 
Hii hoja vilaza wengi hawajaielewa. Na ndo maana wengi unawaona wanajibu kwa mihemko. Upo sahihi kabisa na hayo watanzania hayawashtui. Wanaona ni sawa. Eti walipe kodi ya uzalendo huku wabunge wananeemeka tu
Wote wewe na Sabaya mna matatizo ya akili.
 
Ni nani aliyewaumiza hao watu? Amechukuliwa hatua gani?ndo maana huwa nasema watanzania ni wapumbavu.

Nyie mlikuwa mnayasema ya makonda hivi hivi. Zaidi ya kutolewa kwenye madaraka nani amemfungulia kesi?si mlishangilia tu kukosa kura za ubunge kigamboni. Zaidi ya hapo nini kimefanyika?

Nadhani watanzania wengi shule hamna.yaani unaona kwa sabaya kutolewa u dc tu inatosha. Wakati kwa nchi za watu wenye akili kungekuwa na kesi nyingi sana dhidi yake. Makonda si mlisema ameua na kuteka watu? Kuna kesi amefunguliwa? Huo ndo upumbavuh wa watanzania. Wanapata mihemko na mamBo madogo. Wakielekezwa wanashupaza shingo.
 
Kama ulikuwa umefungwa ,,halafu ukaja ukasawazisha, lazima ushangilie bana wee,,
Baadae ndo unafanya mipango ya kuongeza goli huku unalinda usifungwe tena.
Na match inaweza isha droo.

Mungu ni mwema, mi nahesabau wanannchi tunaongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…