DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mtu anayekula Bata ni mtu anayeishi Maisha yake bila kelele, anakula vizuri, Analala pazuri Na kipato chake ni constistence.
Lakini hizi wanazoziita Bata za vijana ni Anasa, haiwezekani ule Bata then uanza kulalamika umepewa UTI Sugu na Fangas 🙊.
So tofautisheni kati ya kula Bata na Anasa.
Lakini hizi wanazoziita Bata za vijana ni Anasa, haiwezekani ule Bata then uanza kulalamika umepewa UTI Sugu na Fangas 🙊.
So tofautisheni kati ya kula Bata na Anasa.