King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hahahaha,
Umenikumbusha enzi zangu.
Mwaka wa kwanza nilimletea mzozo Profesa wa Philosophy na kelele za atheism/ far left, mpaka ikawa noma kama nataka ku dominate darasa.
Kila siku ligi darasani, si miswali, mwalimu neocon far right libertarian halafu judge and author, mie super liberal leftie atheist, total opposites. Nikaona huyu siku ya mtihani wa mwisho lazima anifelishe, lakini namtilia ngumu.
Kufika wiki ya mtihani wa mwisho wa semester kaniambia "wewe usije kwenye mtihani, class participation yako ishakupasisha darasa".
Nikamuuliza sasa utanipimaje? Utanipa maksi gani?
Akaniambia ubishi wako wa darasani kila siku na coursework ushapata A kwenye somo langu, ule ubishi ulikuwa umezama kwenye falsafa kubwa kuliko ya darasa hili. Mimi nilikuwa naona ule ubishi kama naharibu, kumbe kinyamwezi mwanafunzi mbishi vile ndio anaonekana anafuatilia mambo. Mwalimu anasema you did your readings, bila kusoma usingekuwa na cha kubisha. Na ulikuwa unatoa classic arguments.
Nikaona kweli mnyamwezi hana hiyana, bongo ukibishana na profesa darasani si anakufelisha kabisa?
Kwa hiyo nashukuru mimi sijawahi kuwa na tatizo la presentation na kujieleza.
Kama kuna wabongo wengi wana tatizo hilo, tupo wengine tunawakilisha.
Unless niwe sijakuelewa .... ila ulichoandika hapo kinasisitiza ukweli wa mada hii kwa mfano halisi.Alafu tabia ya watanzania wanaoenda kusoma collage huko ughaibuni wakija hapa wanasema wamesoma university waacheee,wanaoenda kusoma ughaibuni wachache ndio wenye uwezo waliwengi hupewa nafasi kwa kujuana,ua uwepo wa pesa home
My name is king wa tatu am from chadema mbeya,i have three creeds profeshenale am politishian hevingi hevingi nolegi in politiko sayansi and intaneshino lileshenishipu ma daile bledi amu contakta with kampan young ladies amu sole amu glade amu withdrowing from this sredi.
====================
Ukipata Ujumbe wa Chuki Matusi Futa Delete Kabisa.
====================
hili tatizo ni common na sugu sanaaaaaaa kwa wanavyuo na hata watu waliopo maofisini...weeeengi tu
kwa ambao mmeenda chuo na mnaotarajia kwenda chuo nje ya Tanzania naomba mkazane sana kwenye English ya kuongea na kuandika.
nilishuhudia watu toka tanzania wakitia sana huruma kwenye presentation. wanaongea english mbovu sana adi inapelekea wakose ujasiri wa kusimama mbele.
jambo ilo lilinisikitisha sana kwa mtanzania kushindwa wakat wengine niliosoma nao toka china. mexico, said arabia, qatar,malaysia etc walikuwa wanajitaid japo walifundishwa secondary kwa lugha zao za ndani.
wito wangu kwa mnaosoma na mnaoenda chuo. English ni lazima ujue
ata waziri wetu wa elimu ndio maana alichemka south ata kupelekea kusema tanzania ni muungano wa zimbabwe na visiwa vya pemba
ndiyo awa walengwa wenyewe
You are a way too pompous chap!!!!!
Nilikueleza kule kuwa wewe ni mshamba wa elimu na majivuni ila maarifa baaado sana utakuwa mzuri wa kukariri na polished english ila hujakomboka na.elimu yako kama unayo!!!!!! Achilia mbali vyeti...
Hebu rudia mada halafu useme umechangia nini zaidi ya majivuno tu na ujinga ambao sisi tuliona kama ni sehemu ya kujifunza tu ndio maana inaitwa presentation sasa bila malumbano ya hoja itakuwaje? ???!!!!!Ila kwako imekuwa ni CV kabisa yaaani mbele za watu unajipambanua,hiyo ni routine kwa mwanafunzi makini na mwalimu mleaji!!!!!!!!
Badilika attitude na perspective wewe mtu!!!!! Paradigm unayotumia katika mijadala ya kijamii niliyowahi kuishiriki inaku paint kama mkoloni mweusi flani hivi!!!!
Shauri sasa wadogo zetu wafanyaje ili kuweza kumudu lugha?????!!!!
Wewe ulipitia njia gani ili waweze kuwa kama wewe au zaid (upande wa lugha tu)!!!!!
Any readings kuwasaidia????
Experience yako itasaidiaje wao kujikwamua?????? ila sio huu ----- wa hapo juu please!!!!!
Any site with online tutorials????!!!!!
Cc Mshinga, Nyani Ngabu, Eiyer
Ungeanza na waziri wa mambo ya ndani
Je kujua kizungu ndio kusoma?mbona mfanyakazi wetu wa ngombe anajua kingereza ila yeye ni raia wa kenya je unaweza kumpa office kwa sababu ya lugha?kujua lugha kwa ufasaha(umahiri) ni kazi ngumu sana ,kwa watanzani lugha mama ni kibantu,lugha ya pili ni kiswahili au kingereza je unadhani mtu huyu ataweza kufahamu kingereza kama anavyofaham lugha lake ya kwanza? Kujua lugha haina haja ya kujifunza darasani ila mazingira ndio yatakayo kufanya kuifahamu lugha kwa ufasaha,kinachokwamisha tanzania kutokuijua lugha zote mbili kwa ufasaha mazingira hayaruhusu.
Basi "natinal" language iwe kidhungu tu ieleweke tuu
Alafu tabia ya watanzania wanaoenda kusoma collage huko ughaibuni wakija hapa wanasema wamesoma university waacheee,wanaoenda kusoma ughaibuni wachache ndio wenye uwezo waliwengi hupewa nafasi kwa kujuana,ua uwepo wa pesa home
nenda ukasoma marekan harafu kuwe na presentation lazima aja ndogo na kubwa zikutoke. we sema hivo tu
kujua lugha si kigezo cha kuonyesha umesoma ila ukisoma nje lugha kuu ni english lazima uijue