watanzania wengi wanatia huruma kwenye presentation chuoni nje ya nchi.

watanzania wengi wanatia huruma kwenye presentation chuoni nje ya nchi.

hahahaha dah nimecheka sana

Hee..umeniacha hoi kweli...umenikumbusha nilikuwa agakhan hospital sasa jamaa akataka kubill achukue kipimo kwa doctor..ndugu ilikuwa kazi na wale reception yani nilijisikia vibaya sana.ikabidi mwenzie ndio amweleze lakini kwa kubabaisha sana..tatizo ni shule zetu wengi wanajua kuandika lakini kujieleza awawezi confidence..ndio maana mtu katoboa chuo lakini kwenye interview anashindwa..kazi majungu tu maofisini wenzao wakiambiwawafanye presentation wanaweza..wao wanabaki kuongea chinichini..
 
Daah Mkuu mi mwenyewe nakamua chuo kikuu nje ya TZ kwa kweli najitahidi kusoma literature nyingi za kwenye somo\area of specialization zaid najitahidi kuzungumza na kusoma fiction & non-fiction. PIA KU-PRESENT research papers zangu kwenye INTERNATIONAL CONFERENCES ili kupata feedback za scholars na ku-improve English. Hakika imesnisaidia mno. Natema Yai mpaka watu hudhani mi si mtanzania
 
bahati mzuri/mbaya sikupata matatizo kama hayo. mtoa mada ana hoja, angalia hata kwenye presentation kwenye seminar vyuoni kwetu. yani watu hadi unawaonea huruma, je wakifika mbele itakuwaje?
 
imenkumbusha chuo,seminar room zilikuwa hazitoshiii during presentations,..changamoto kubwa kwa wengi ni lugha,uelewa wa kitu anachopresent na confidence...usiombe sasa mtu awe bishoo af kupresent shida,.
 
imenkumbusha chuo,seminar room zilikuwa hazitoshiii during presentations,..changamoto kubwa kwa wengi ni lugha,uelewa wa kitu anachopresent na confidence...usiombe sasa mtu awe bishoo af kupresent shida,.

Ka ulisoma tanzania hata waalimu wenyewe hawajui kizungu hapakuwa na haja ya kuogopa unless ka ilikuwa majuu
 
English ni ishu kwa watanzania wengi zaidi hatuna bidii ya kutaka kujifunza kutwa kusoma magazeti ya UDAKU na kuangalia BIBI BOMBA CLOUDS TV utajuaje kiingereza namna hii?
 
Wale wa presentation ya oral + pp word + graphic + clips + hyperlinks tuwasiliane kwa pm. Kwa wale wenye maslahi ya nchi itakuwa bure kabisa!
 
Watanzania wengi walikuwa wanakunywa wine siku za presentation ili kupata ujasiri na ilikuwa inawasaidia sana na walikuwa wanapresent vizuri lakin wasipokunywa ni majanga
 
Back
Top Bottom