Ha ha haaaaa! !!!!!!!!
1. Naumia na wewe ulivyofanya!!!
Ulifanya nini kubwa wewe kwa kutimiza uanafunzi wako???!! We nioikiambia ni mshamba kwa sababu hizi yaani kuongea na prof baada ya kusoma na kulewa nini cha ajabu mtu asiye na uwezo ndio hujisifu kwa kitu hiki,masters classes hiyo ndio daily routine mnagawiwa topics unaenda kuandaa presentation na kuwasilisha mada the whole of course work ni hiyo tu sasa wewe umechukulia kama special case. Kawaida saaaaana hiyo isiwe kama mfano majukwaani ni kama mtoto wa kiume kujisifu kakojoa huku amesimama!!!!!
Sasa kwa nini unatokwa povu kama si kubwa? Mimi mwenyewe wala sikuona kubwa.Ningeona kubwa ningekuja kuliripoti mwenyewe siku hiyo hiyo kwa kulianzishia thread. Lakini nililiona la kawaida tu. Nikaona mdau katoa mada ambayo ina relate na ile experience yangu nikatoa experience yangu. Ndiyo maana ya forum.Kila mtu anatoa mchango wake, mnapata a balanced narrative.Sio mdau anasema wabongo mnapata tabu na Kiingereza vyuoni wakati kuna wabongo wengine sio tu hatupati tabu, bali tunachachafya. Sasa hapo unayeona kitu cha ajabu ni wewe uliyetokwa na povu mpaka kunishikia bango, wakati ni jambo la kawaida tu.
Hapo sijakwambia nilipotoa lecture la Bing Bang theory high school mpaka mwalimu mwenyewe akasema hajawahi kusikia habari kama hizo!
2. Inferiority complex!!!
Wewe ndo wa kunifanya mimi inferior thubutu yaaaaako kwa.hii english yako au nini,mbona ni oxford standard tu bwana majidai,vocabulary gani haipo kwa dictionary???!!! I dare you shule huna. ..mwepesi wa hoja mjanja wa maneno tu nyie chuo tuliwaita CNN maana hiyo channel hata anayesoma utabiri wa hali ya hewa kizungu kinapanda sasa kunani hapo kama sio mazoea????!!!
Huja address issue kwamba una inferiority complex. Unazidisha tu kuionesha, sijui english oxford cnn, wewe ushaona hivyo ni vitu vya ajabu wakati watu tume rock ABC since Peter Jennings, bongo, wewe unaongelea CNN!
3. Kubalance story na wabongo kuwa hopeless!!!
Mtoa mada katoa tahadhari wewe badala ya kushauri cha kufanya unatuletea narative isaidie nini na hitimisho lako halikuwa na jinsi ulivyofika hiyo level ya kujua kubishana kwa lugha hiyo!!!!Methodology gani ilitoa matokeo hayo????Hapo ingekuwa na maana ila kutuambia ulipewa A inasaidia nini wadogo zetu kujua lugha..na hapo ndio ulipofit kwenye hilo neno hopeless squarely!!
Mie nimetoa a very simple experience, wewe unayetaka methodology ndo unayetaka kuipandisha na kuifanya iwe Ph.D thesis sasa. Halafu wewe unayesema "nini cha ajabu" ndiye unataka nitoe na methodology.Ukishataka na methodology ushakubali hiki kitu fulani si cha kawaida. Mimi siwezi kutoa methodology, kwa sababu naona kitu cha kawaida tu, na siwezi hata kushangaa nikisikia mbongo mwingine anakuja na a similar experience, anawapa moyo wanaokuja kusoma kwamba si kitu cha ajabu.
Unataka methodology leo wakati watu tumeanza kuandaliwa tangu kindergarten?
Methodology yangu nikikwambia nilikuwa najichanganya na Marines Toure Drive utaniambia nini? Nikikwambia nilimaliza "War and Peace" back and forth twice by 15 utasemaje?
4. Mimi kuwa wewe!!!!
Hapo wenye busara watapima kwa mjadala huu na watajua nani anatamani kuwa nani!!!
Kisu kimegusa mfupa, umeumia mpaka umeshindwa kujibu.
5. Midoli urijali na hypocricy
Viwanda vya midoli wafanyakazi wote wasichana eenh???? Responsible? ???fathers hawawanunulii daughters wao midoli???? Rijali hapo mr never told ukurasa huu na wasomaji wake hawana jinsi ya kujua kati ya mimi mwanaume na wewe nani ni nani,ila kwa kudhani unaonewa wivu hili wazo tu ni indicator.
Nenda kacheze na midoli mimi si saizi yako.
Hypocrite sio wewe kweli unayebadili mada kutoka kwenye lugha na kuleta hoja ya wabongo kuwa hopeles ili upate avenue ya kuleta misifa ya kitoto ambayo wala haina tija kwa mada husika.Hebu soma tena main thread na usema wapi kuna neno hopeless wabongo????!!!!!
How could the narrow minded and one track minded witness and learn from the vicissitudes and fluid flow of ideas that an online forum presents us with? When will they stop salivating and wishing they were editor in chiefs of some party magazine that would enable them to censor any "letter from readers"?
You wish you could put a stop to my hopeful narrative with your negative gibberish.
Again, per Guru.
The truth is, you wish you could live, the life that I live, kick the lyrics I kick, but bear in mind that you can't think as quick.
Mtu mwenyewe kuingia mtandaoni mpaka uvizie mara moja kwa saa 48, hata kama nataka kujibizana nawe unanikata stimu tu.
Kajaze credit kwenye kikoroboi chako, usipoangalia ntakumalizia bajeti yako yote bure.