Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ya kitu naona kwenye nchi yetuWanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la Jumapili ya leo.
View attachment 3110071
Huu ni muendelezo wa sisi Watanzania kujitathmini uwezo wetu wa uongozi kwenye corporate level, jee Watanzania tuna uwezo wa kuongoza makampuni makubwa profitability, kama ATCL, SGR, TAZARA etc na yaka oparate kwa faida.
Kampuni ya Helios Towers Tanzania ni Kampuni ya kimataifa ya Uingereza, iko kwenye nchi 8 barani Afrika na Oman Arabuni. CEO wa Helios Towers ni Mtanzania, Gwakisa Stadi ambaye pia ni Boss wa Helios Towers Kanda ya Afrika Mashariki. Kati ya hizo nchi 8 za Afrika ambazo Helios Towers wapo, Ma CEO 3 ni Watanzania na habari njema zaidi ni hata CEO wa kwanza aliyeanzisha Helios Towers Oman, ni Mtanzania!.
Huu ni uthibitisho kuwa Watanzania tunaweza!. Kama Watanzania wameweza kwenye Helios Towers, huko kuingine kote Watanzania tunashindwa nini?.
Paskali
Je sisi tuna proper succession plan endapo rais aliyeko madarakani akipata majanga hasa kifo?, samahani kama nawatoa kwenye reli lakini lengo ni kujenga nyumba moja kwaajili ya huko baadaeKaka Paskali, asante sana kwa andiko hili. Niseme machache ya kwanini hutawaona watanaznia kwenye nafasi za juu za makampuni makubwa hapa nchini..!!
1. Imani kwamba industry flani ni mpya Tanzania
Kuna nyakati, mambo ya madini, simu wakati yanaanza, etc vilikuwa vinaonekana na kutajwa kwamba ni mambo mapya kwetu. haya yalisemwa na almost wote, kuanzia wawekezaji, viongozi serikalini na mpaka watendaji wakuu wa sekta husika. Hii ilipelekea, kweli kila kitu kionekane kipya kwetu watanzania. Lakini, pampu ya maji iliyokuwepo pale Kahama KMCL (kwenye makinikia) haina tofauti na ya DAWASCO, au genereta lililokuwepo pale kwenye mnara wa simu wa Mkuranga, halina tofauti na genereta la nyumbani kwa mtu. Mtazamo wa upya, ukapelekea kila kitu kionekane kipya na kinahitaji shule kubwa sana kukijua. Lakini kiuhalisia haikuwa hivyo. Kuna vilivyoikuwa vipya na vile tulivyowahi kuvifanyia kazi kwingine.
2. Proper succession plan
Kaka, tushawekwa sana kwenye succession plans ili uweze kumrithi mzungu. Lakini, sera zetu zinawabeba sana wazungu kwenye kuelimisha watanzania halafu wachukue nafasi wakifikisha uwezo. Mtu unakaa kwenye plan hiyo, lakini plan haina mwisho. Sera zetu hazitoi nafasi kwa watanzania kurithi nafasi kubwa. Mwisho mtu anakuwa frustrated na anaamua kuondoka.
3. Imani yetu kwa wazungu
Kuna watu wanawaamini sana wazungu. Mzungu nakisema kitu kinaonekana cha maana sana kuliko cha mbongo. Nyerere ashshawahi kusema, kuna wengine kitu kikitajwa kwa kiingereza kinaonekana cha maana sana kuliko uhalisia wake.
4. Majuku tunayopigana wenyewe kwa wenyewe
Kwenye majungu hatujambo. Kuna watu wakisikia tu fulani anauwezekano wa kuchukua nafasi, inakuwa hatari. Watu wanahaha huku na huko kuhakikisha hicho kitu hakitokei.
Lakini hakai kimya, ni muhimu kujadili kuhusu jamii yetu ili kupata majawabu ya nini kifanyike kuwezesha kupiga hatua badala ya kuwaachia wanao ahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data kumbuka pia, "silence surrenders public responsibilities"Tatizo ni uthubutu kuomba kazi kampuni za kimataifa ndio maana hata Pascal Mayala anayejiita mwandishi wa habari nguli uswahilini Tanzania anaishia tu kuandika vihabari uchwara vya ndani ya nchi vvyombo vya habari vya ndani hajawahi ajiliwa BBC au Voice of America nk kama akina Kikeke nk ambao Mayala kawazidi qualifications kielimu tena mbali mno
Wenzie wamestaafu vyombo vya habari vya kimataifa wanalipwa monthly pensions kwa dola yeye anauza sura tu jamii forums na vigazeti vya uswahilini
Nadhani unamaanisha Kinyume maana Zakaria, Patel, Gharib Salim Bilal, Said Salim Bhakresa hawa wote hawaingii kanisani. Just to mention a few.Wakristo wanashika top ten ya matajiri wote Tanzania, watumishi wengi serikalini ambao ni wasomi wazuri ni wakristo,serikali haina ufisadi sababu wakristo ni wahaminifu kwa jina la yesu, Samia hadi 2040
Nchi walizoabzishia nalo muhimuWanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la Jumapili ya leo.
View attachment 3110071
Huu ni muendelezo wa sisi Watanzania kujitathmini uwezo wetu wa uongozi kwenye corporate level, jee Watanzania tuna uwezo wa kuongoza makampuni makubwa profitability, kama ATCL, SGR, TAZARA etc na yaka oparate kwa faida.
Kampuni ya Helios Towers Tanzania ni Kampuni ya kimataifa ya Uingereza, iko kwenye nchi 8 barani Afrika na Oman Arabuni. CEO wa Helios Towers ni Mtanzania, Gwakisa Stadi ambaye pia ni Boss wa Helios Towers Kanda ya Afrika Mashariki. Kati ya hizo nchi 8 za Afrika ambazo Helios Towers wapo, Ma CEO 3 ni Watanzania na habari njema zaidi ni hata CEO wa kwanza aliyeanzisha Helios Towers Oman, ni Mtanzania!.
Huu ni uthibitisho kuwa Watanzania tunaweza!. Kama Watanzania wameweza kwenye Helios Towers, huko kuingine kote Watanzania tunashindwa nini?.
Paskali
Hapana,hao wana elimu za madrasa hawawezi kuwa na utajiriNadhani unamaanisha Kinyume maana Zakaria, Patel, Gharib Salim Bilal, Said Salim Bhakresa hawa wote hawaingii kanisani. Just to mention a few.
Ha ha haPaskali declare interest kwamba unafaidika na helios Tower...Unakula Bakshishi kwa kuleta taarifa za HTT na CEO wake.
Fursa haikufwati inatakiwa uichangamkieHa ha ha
SahihiFursa haikufwati inatakiwa uichangamkie
watumishi wa umma wako kwenye luxury comfort zone hapo nchi ya gizani. usitegemee maajabu.Kwenye telecom, hakuna blablabla, kama serikalini, huku issues zinatafutiwa solutions, anayeleta madudu anaadhibiwa fasta, maana ukiruhusu madudu, unakosa mapato,kampuni inakufa, kila mfanyakazi, anajua juhudi zake kuhakikisha hakuna fuckups, ndio kampuni inasonga mbele,
Serikalini, kwanza kuna politics nyingi, mtaani kwangu, senior retired civil servants, hawalipi bill za maji, wala umeme, wanatumia bureeee, serikalini, hata usipojishughrisha Sana, salary will come, ukitibua Sana, unahamishwa tu, hakuna "owner ship" Ya task Fulani, madudu y akitokea, hujui nani atumbuliwe, kuna mlolongo mreeefu wa protocali!
Telecom, kuna clear standard operation procedures SOP, ikitokea shida tu, aliyechemka, anaanza kuwajibika, kurekebisha, kabla Mambo hayajawa mabaya!
Tatizo linaweza likatokea kwenye mnara Kyelwa mrongo border, inaweza ikawa issue ya pesa kibao, itasoviwa kwa conference call btn wahusika, hakuna eti MTU atoke Dar aende ziarani kagera, kote huko kuna watendaji, mnazungumza kupitia conference call, aliyechemka, anapata adhabu halo halo, kama kibarua kinaota nyasi, ni, hapo hapo uamuzi, unatoka,! No time to waste
Ajira zinazolipa vizuri ni kampuni za kimataifa hizo hazijali uraia wa mtu ni hapa kazi tu ulichoandika ni nje ya madaMbona huzungumzii katazo la uraia pacha linavyopoteza watanzania wenye nia ya dhati kurudi kusaidia nyumbani.?
Nakuelewa, tunaishi kwenye jamii ambayo iliandaliwa kufyata mkiawatumishi wa umma wako kwenye luxury comfort zone hapo nchi ya gizani. usitegemee maajabu.
Ndo umeongea nini Sasa ???Wakristo wanashika top ten ya matajiri wote Tanzania, watumishi wengi serikalini ambao ni wasomi wazuri ni wakristo,serikali haina ufisadi sababu wakristo ni wahaminifu kwa jina la yesu, Samia hadi 2040