nasssen
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 489
- 535
Habari za mihangaiko ya kazi wana JF,
Bila kupoteza muda ngoja niende direct kwenye mada iliyonileta humu. Nina miezi michache sasa nipo nchini Uganda kikazi, lakini imekuwa vigumu sana kukutana na watanzania wenzangu pengine ni kutokana na kazi na kuwa busy kidogo. Lakini natamani sana kufahamiana na wenzangu mliopo huku kwasababu leo na kesho tunaweza kusaidiana kama ndugu na pengine kuendeleza ushirikiano huu hata tutakaporejea nyumbani Tanzania.
kama upo huku please nicheki pm. Nashukuru! 🙂🙂🙂
Nimemiss sana kuongea kiswahili aisee! 😀
Bila kupoteza muda ngoja niende direct kwenye mada iliyonileta humu. Nina miezi michache sasa nipo nchini Uganda kikazi, lakini imekuwa vigumu sana kukutana na watanzania wenzangu pengine ni kutokana na kazi na kuwa busy kidogo. Lakini natamani sana kufahamiana na wenzangu mliopo huku kwasababu leo na kesho tunaweza kusaidiana kama ndugu na pengine kuendeleza ushirikiano huu hata tutakaporejea nyumbani Tanzania.
kama upo huku please nicheki pm. Nashukuru! 🙂🙂🙂
Nimemiss sana kuongea kiswahili aisee! 😀