Kila mmoja anashuhudia jua lilivyo kali, mvua zimechelewa kwa mikoa ya pwani, maeneo mengine ya nchi mvua ni chache, jua kali mazao yanakauka.
Kuna kila dalili ya upungufu wa chakula/njaa.
Tunawaomba viongozi wetu wa Makanisa na Misikiti kuonga sala za toba.
Kuna kila dalili ya upungufu wa chakula/njaa.
Tunawaomba viongozi wetu wa Makanisa na Misikiti kuonga sala za toba.