BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Bei za vifurushi vimepanda mno, ukijiunga zinaliwa fasta, najitahidi kujibana lakini wapii, hata kama kuwemo kwa tozo/kodi za serikali lakini sio sababu ya wao kutupandishia kiasi hicho, ni too much kwakweli, wamevuka mpaka. Mimi ni mpenzi na mfuatiliaji wa football, and many times naangalizia kwenye simu, but now nimepunguza, na huko mbeleni huenda nikaacha nayo na kuhamia kwenye king'amuzi.
Nawaomba watanzania wenzangu, tupunguze kununua internet bundles kupitia mitandao ya simu, kama itawezekana for every body afungue WIFI kupitia TTCL, kuna mdau humu alinidokeza wanaUNLIMITED kwa gharama ya 50k per month. Huu ni ushauri tu wadau wenzangu na wala silazimishi mtu.
Ahsante
BlackP
Nawaomba watanzania wenzangu, tupunguze kununua internet bundles kupitia mitandao ya simu, kama itawezekana for every body afungue WIFI kupitia TTCL, kuna mdau humu alinidokeza wanaUNLIMITED kwa gharama ya 50k per month. Huu ni ushauri tu wadau wenzangu na wala silazimishi mtu.
Ahsante
BlackP