Watanzania wote tungekuwa na bidii kama wauza icecream za ukwaju za Bahresa nchi hii ingekuwa zaidi ya US

Watanzania wote tungekuwa na bidii kama wauza icecream za ukwaju za Bahresa nchi hii ingekuwa zaidi ya US

Watanzania ni mamburura hata ukianzisha biashara ya kuuza mavi watakuja uwaaajili hali kila mmoja ana choo kwao.
Jwisi ya ukwaju tumeanza kunywa zamani sana hapo mnazi mmoja karibu na kituo cha polisi.Leo jitu lenye misuli linatembea na sharubu zake linauza ukwaju eti limeajiliwa,limeshindwa kwenda polini kuokota ukwaju na kuja kugandisha na kuuza.Yameshindwa hata kukopi teknolojia ya kufunga tu.Wauza ukwaju hongeleni sana kwa kuajiliwa.
Wewe ndo maandazi kweli .. Yam mpaka leo umeshindwa kutumia "l" na "r" kwenye sentensi mtu mzima unamiliki email, una password JF..Juisi unaandika Jwisi..ukwaju hauokotwi wewe boya...





Umeharibu thread ya Mkuu na kiswahili chako cha kiduanzi.
 
Inaonesha msamiati wa 'kuajiriwa' hutaki hata kuusikia
Watanzania ni mamburura hata ukianzisha biashara ya kuuza mavi watakuja uwaaajili hali kila mmoja ana choo kwao.
Jwisi ya ukwaju tumeanza kunywa zamani sana hapo mnazi mmoja karibu na kituo cha polisi.Leo jitu lenye misuli linatembea na sharubu zake linauza ukwaju eti limeajiliwa,limeshindwa kwenda polini kuokota ukwaju na kuja kugandisha na kuuza.Yameshindwa hata kukopi teknolojia ya kufunga tu.Wauza ukwaju hongeleni sana kwa kuajiliwa.
 
Moja wanauza 500, yeye anachukua 200 na bosi 500
Kwahiyo unapata kulingana na juhudi zako
Hawa hawana mshahara...watakua wanalipwa kutokana na ulizouza. Lazma uchakarike. Ni system nzuri ya na asiyefanya kazi na asile
 
wwnakufata hadi usoni mara mbilimbili wakikushawishi ununue icecream, akiondoka anaibuka mwingine, na kila mmoja anavionjo vyake tofauti vya sales skills
Kwa aina hii ya uuzaji naona kama it irritating. Kuna mmoja ndio mchezo wake anakufata mpaka usoni anakupigia kelele juzi kati walimfukuza nusura apate kichapo.

Wanajitahidi kuuza ila wauze kistaarabu siyo kufatana mpaka usoni siyo tabia njema kwa kuzingatia siyo kila mtu atanunua na kila mmoja ana mambo yake yanamtatiza.
 
sasa kama katika 500 wanapewa 200 kwanini wasiende kesi mzee
 
Wewe ndo maandazi kweli .. Yam mpaka leo umeshindwa kutumia "l" na "r" kwenye sentensi mtu mzima unamiliki email, una password JF..Juisi unaandika Jwisi..ukwaju hauokotwi wewe boya...





Umeharibu thread ya Mkuu na kiswahili chako cha kiduanzi.
😁😁😁😁 eti "mtu mzima unamiliki email na password jf juisi unaandika jwisi"😁😁😁😁😁
 
Hawa jamaa wana spirit fulani ya kushangaza sana, yaani wamezagaa kila kona na watakushawishi weee mpaka utajikuta umenunua! Hongera kwa bosi wao aliyebuni huu mpango, watumisi wa serikali pia waige mbinu ya kuwatia ndimu vijana wafanye kazi!
 
Kuna watu wanapenda kuajiriwa na kuna wengine wanapenda kujiajiri.
Ila biashara ya juani kama unafanya yako kwa style wanayoitumia hawa jamaa unatengeneza hela Sanaa sanaa.
Zipo za mitaji midogo ya kuanzia mpaka elfu kumi tuu.
 
Kuna watu wanapenda kuajiriwa na kuna wengine wanapenda kujiajiri.
Ila biashara ya juani kama unafanya yako kwa style wanayoitumia hawa jamaa unatengeneza hela Sanaa sanaa.
Zipo za mitaji midogo ya kuanzia mpaka elfu kumi tuu.
Zitaje boss
 
Back
Top Bottom