Watanzania wote tungekuwa na bidii kama wauza icecream za ukwaju za Bahresa nchi hii ingekuwa zaidi ya US

Watanzania wote tungekuwa na bidii kama wauza icecream za ukwaju za Bahresa nchi hii ingekuwa zaidi ya US

Hawa jamaa wametapakaa mitaa yote.
Nimejaribu kuwalinganisha na watafutaji wengine hawa wako aggressive na wanakomaa bila aibu wala kujishuku huku wakiwa na sura zilizojaa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya asubuhi hata jioni.


kiufupi hawa jamaa nawakubali sana, na ndio role model wangu wa kukomaa hadi sasa.

Mungu awabariki wakuu. kama una wanajf humu wanasukuma zile icecream za kuwaju wale wanavaa nguo za orenji Nawwapenda sana.
unawapenda wakivaa orenji au unapenda ice cream ?
 
Watanzania ni mamburura hata ukianzisha biashara ya kuuza mavi watakuja uwaaajili hali kila mmoja ana choo kwao.
Jwisi ya ukwaju tumeanza kunywa zamani sana hapo mnazi mmoja karibu na kituo cha polisi.Leo jitu lenye misuli linatembea na sharubu zake linauza ukwaju eti limeajiliwa,limeshindwa kwenda polini kuokota ukwaju na kuja kugandisha na kuuza.Yameshindwa hata kukopi teknolojia ya kufunga tu.Wauza ukwaju hongeleni sana kwa kuajiliwa.
sio mamburura mdau issue hapo sio ukwaju tu
kama ingekua ni ukwaju pekee basi hapo mnazi mmoja ulipokua unakunywa huo ukwaju wangekua matajiri
Issue hapa n Brand na Packaging nzur ndo maana unaona hzo ice cream zinauzika.
 
Hawa jamaa wametapakaa mitaa yote.
Nimejaribu kuwalinganisha na watafutaji wengine hawa wako aggressive na wanakomaa bila aibu wala kujishuku huku wakiwa na sura zilizojaa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya asubuhi hata jioni.


kiufupi hawa jamaa nawakubali sana, na ndio role model wangu wa kukomaa hadi sasa.

Mungu awabariki wakuu. kama una wanajf humu wanasukuma zile icecream za kuwaju wale wanavaa nguo za orenji Nawwapenda sana.
Mimi hua nikiwaona hao jamaa nafikiria sana kichwa kilichobuni ilo wazo na iyo style aseee

jamaa aliyebuni ivyo tukubali ni kichwa aseeee

Me hua namu appriciate sanaaa
 
Hawa jamaa wametapakaa mitaa yote.
Nimejaribu kuwalinganisha na watafutaji wengine hawa wako aggressive na wanakomaa bila aibu wala kujishuku huku wakiwa na sura zilizojaa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya asubuhi hata jioni.


kiufupi hawa jamaa nawakubali sana, na ndio role model wangu wa kukomaa hadi sasa.

Mungu awabariki wakuu. kama una wanajf humu wanasukuma zile icecream za kuwaju wale wanavaa nguo za orenji Nawwapenda sana.
 
HAKIKA
Hawa jamaa wametapakaa mitaa yote.
Nimejaribu kuwalinganisha na watafutaji wengine hawa wako aggressive na wanakomaa bila aibu wala kujishuku huku wakiwa na sura zilizojaa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya asubuhi hata jioni.


kiufupi hawa jamaa nawakubali sana, na ndio role model wangu wa kukomaa hadi sasa.

Mungu awabariki wakuu. kama una wanajf humu wanasukuma zile icecream za kuwaju wale wanavaa nguo za orenji Nawwapenda sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanatuma mkuu usichezee kitu ya mapajani kabisa
Yaani hata mie nikiwaona nawaza mengi
unakuta mtu kavaa kale kabegi amekaweka kwa mbele kifuani, wanatembea juani.
Halafu mkaka kama huyo umwambie atume na ya kutolea, unapata dhambi!!!
 
sio mamburura mdau issue hapo sio ukwaju tu
kama ingekua ni ukwaju pekee basi hapo mnazi mmoja ulipokua unakunywa huo ukwaju wangekua matajiri
Issue hapa n Brand na Packaging nzur ndo maana unaona hzo ice cream zinauzika.
Hakuna lolote.mbona mikate ilikuwa hivyohivyo lakini wabongo wameshituka kila kona viwanda vya mikate.Watu wamekosa akili tu,jitu zima kufanywa machinga ni kukosa akili.Kwa hiyo wewe unakubaliana waendelee kuwa machinga wa ukwaju? Watasaga sana sole ila kutoka hapo hakupo.
 
We nakuonea huruma! Yani role model machinga wa bidhaa ya MTU? Kwa nini diamond asiwe role model wako au jamaa wavmigodini,wanajua ipo siku watatoka.Unaweza kuwin kwa kuuza ukwj was mtu mwimgine au maandazi ya mtu mwingine? Wtz tuache uvivu was kufikiri.Tufanye umachinga wa watuwengine kwa vitu tusivyoweza,ukwaju upo kwenye uwezo wa machinga.Jasho lenu linaliwa bure,kumbuka umri haurudi nyuma. Endeleeni kuwatajirisha watu.
 
sio mamburura mdau issue hapo sio ukwaju tu
kama ingekua ni ukwaju pekee basi hapo mnazi mmoja ulipokua unakunywa huo ukwaju wangekua matajiri
Issue hapa n Brand na Packaging nzur ndo maana unaona hzo ice cream zinauzika.
Jamaa alikuwa anauza sana miaka90 mpaka2000,kama ni masikini basi ni ujuha wake.Wanafunzi wa shule za mjini wengi alikuwa akiwahudumia.Ninamaanisha hao machinga wajiongeze wakopi aidia waanzishe tubiashara two.Utengenezaji wa juisi sio saw a na chokoleti,hauna mambo mengi.In kama ubuyu wa wapemba kola maahala sasa unatengenezwa,zamani mpaka uagize pemba,.Watu wajiongeze wasiwe 'slave'
 
Mimi hua nikiwaona hao jamaa nafikiria sana kichwa kilichobuni ilo wazo na iyo style aseee

jamaa aliyebuni ivyo tukubali ni kichwa aseeee

Me hua namu appriciate sanaaa
mwanzoni niliona kabugi. ila kila siku nagundua aliwaza mbali
 
Marekani ilijengwa na watumwa na sisi tuwatafute..I'm joking
 
wwnakufata hadi usoni mara mbilimbili wakikushawishi ununue icecream, akiondoka anaibuka mwingine, na kila mmoja anavionjo vyake tofauti vya sales skills
Na joto la Dar,mteja lazima alegee tu kama ana 500 yake
Ukweli ni kwamba wanagawana 50~50 na mzee,ndio mana wanapigana wamalize wakachukue tena
Siku.ikienda vizuri mtu anaondoka.mpaka 30,000 kwa siku
 
Back
Top Bottom