Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Watafanyaje Sasa na wanajua kifungo la kuminywa kuko jirani ukionekana unampinga?Hata sakata la umeme wanajua ni mchongo tu wa kihuni.
Wanajua fika huyu mama hana sauti ya kuendesha nchi
Amedhibitiwa na wahuni.
Watanzania wote hawamtaki na wanajua fika hafai ila basi tu.
Chawa huwa wwnasingizia mama anashauriwa vibaya utafikiri yey ni zumbukukuHata sakata la umeme wanajua ni mchongo tu wa kihuni.
Wanajua fika huyu mama hana sauti ya kuendesha nchi
Amedhibitiwa na wahuni.
Watanzania wote hawamtaki na wanajua fika hafai ila basi tu.
Labda,who knows !Chawa huwa wwnasingizia mama anashauriwa vibaya utafikiri yey ni zumbukuku
Nimeipenda hii,brief,blunt and to the point.🙏Hata sakata la umeme wanajua ni mchongo tu wa kihuni.
Wanajua fika huyu mama hana sauti ya kuendesha nchi
Amedhibitiwa na wahuni.
Watanzania wote hawamtaki na wanajua fika hafai ila basi tu.
We ni Chawa halisi uliyeganda kwenye mwili ya Samia 24/7.Bila Samia wewe uhai huna!Hakuna rais aliewahi kupendwa na watu wote, kama yupo nitajie
Tafadhali usiwasemee wengine ni wewe tu na roho mbaya inayokuandamaHata sakata la umeme wanajua ni mchongo tu wa kihuni.
Wanajua fika huyu mama hana sauti ya kuendesha nchi
Amedhibitiwa na wahuni.
Watanzania wote hawamtaki na wanajua fika hafai ila basi tu.