Wataokwamisha sensa kukiona...!

Escobar

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
574
Reaction score
441
Mkuu wa mkoa wa Dar anaongea live sasahivi kuwa hakutakuwa na kipengele cha dini katika sensa na kuna kikundi kidogo cha mashehe kinawapotosha waislam safi kwa maslah yake binafsi hivyo watachukuliwa hatua za kisheria!

Pia ameongoza kuwa hata jana kuna watu wameonekana wakiongea kwenye vyombo vya habari wakipinga na pia wamekuwa wakigawa vipeperushi vinavvyohamasisha kugomea sensa, serikali inajua na itawashughulikia kwa mujibu wa sheria!

Serikali haihesabu watu ili ijenge vyuo vya mashehe bali ni kwa maendeleo ya nchi.

Source: TBC LIVE kutoka Mnazi mmoja kwenye uzinduzi rasmi wa sensa
 
Sasa anaeongea ni makamu wa pili wa rais zanzibar nae amewabeza kina sheikh ponda
 
Hii sensa naisubiri kwa shauku kama fainali ya nini sijui...nadhani tutapata uhondo ndani ya hizo siku saba...ni RAHA ilioje mkuu wa mkoa wa darisalama atakaposimamia zoezi la kuwadhibidi waislam wenzake...
 
Wasitutishe, hatukubali kuhesabiwa na hakuna lolote wanaloweza kufanya.
 
Tupe vitu kamili mkuu, raha ianze mapema...

Hao wote hawajui wanalofanya.
Kumbeza ponda sio sababu ya kutushawishi kuhesabiwa.
Watabeza, watasema sana lakini HATUHESABIWI.
Wakitaka waweke kipengele cha dini kwanza.
 
Hao wote hawajui wanalofanya.
Kumbeza ponda sio sababu ya kutushawishi kuhesabiwa.
Watabeza, watasema sana lakini HATUHESABIWI.
Wakitaka waweke kipengele cha dini kwanza.
Ndiyo hicho wengine tunachosubiri kwa hamu kubwa. Mungu atuweke hai , tutakutana hapahapa wakati wa zoezi linaendelea mpaka linaisha...
 
Hii sensa naisubiri kwa shauku kama fainali ya nini sijui...nadhani tutapata uhondo ndani ya hizo siku saba...ni RAHA ilioje mkuu wa mkoa wa darisalama atakaposimamia zoezi la kuwadhibidi waislam wenzake...

Hakuna mwenye uwezo wa kuwaadhibu waislamu isipokuwa aliye waumba tu.
 
Ndiyo hicho wengine tunachosubiri kwa hamu kubwa. Mungu atuweke hai , tutakutana hapahapa wakati wa zoezi linaendelea mpaka linaisha...

Hakuna shida, tusubiri tuone.
Mimi SIHESABIWI hata kwa risasi.
 
Wao kwa wao yetu macho maana waliwatumia wakapata wanachotaka wakawaacha tupu. Sasa wanawasumbua wao wenyewe.

Mkuu uko sahihi kabisa,hata mimi lawama zangu ni kwa Jk na watu wake walivyotumia mtaji wa kidini ili kufikia malengo ya kisiasa.Sasa wamelikoroga wenyewe walinywe.
 
Wasitutishe, hatukubali kuhesabiwa na hakuna lolote wanaloweza kufanya.

Mkuu fanya Yote ila usigomee sensa! Mi nipo huku kwenye Mafunzo. Nachotaka kukuambia akikushawishi karani uesabiwe ni bora ukakubali..

Maana Tumeambiwa kuwa Kama mtu akigoma Unanyanyua simu yako unampigia Msimamizi mkuu, sasa yeye ndo atajua cha kufanya..

KILA MTU ATAHESABIWA
 
safi sana...angeongea kiongozi wa dini nyingine ungesikia MFUMO KRISTU...sasa kasema mjahidina mwenzao.....
 
Hao wote hawajui wanalofanya.
Kumbeza ponda sio sababu ya kutushawishi kuhesabiwa.
Watabeza, watasema sana lakini HATUHESABIWI.
Wakitaka waweke kipengele cha dini kwanza.

Dini gani na ili iweje.

Hapa tz dini ni upagani tu na ndiyo maana haijasajiliwa wizara ya mambo ya ndani. Vingine vyote ni vikundi -associations na ndiyo maana ili viendeshe shughuli zake lazima viombe usajili/ruhusa.

and so they are obliged to comply na aliyewasajili

kusajili mmeomba kisha mnataka kumwendesha aliyewasajili....sawa na mpangaji kumwendesha mwenye nyumba.

Ombeni kufutwa usajili kwanza
 

Atapigiwa simu sana.Tukiwa hai tutaona lakini hatokuwa na kingine cha kufanya zaidi ya kuwatumia law enforcers ambao siku hizo karandinga lao litajaa na kumwagika.Mpaka pumzi ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…