Simba ilikuwa inapata matokeo Uto mkaanza MOO atoe Bil 20 mkazusha weeee kelele na Fitina.Game zinapigwa, timu inapata ushindi... Wachezaji wanalipwa... Mashabiki na wanachama wanafurahi... Hayo ndio ya msingi kwasasa...
Hayo mengine ya sijui GSM anatumika sisi hayatuhusu
Yanga hoyeeee