MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
-
- #121
Ungeeleza aina ya malezi yako utotoni yalikuaje na wewe ni mtu wa aina gani moyoni? Ingependeza zaidi
Its not a strategy man,Ha ha ha ha hamna bhana...strategy yako inafanyakazi kwa watoto...π
Aaah come on RRONDO ,
Women are the least of my worries for now,
BTW JF is the last street on Earth that i would try hook up with someone.
Literary, the last street on Earth................
Ameeen mkuu wangu,utakuwa na vitu hadimu katika personality yako.
watu wa namna yako huishi muda mrefu...
It definately works with babies....πIts not a strategy man,
Its how i am maaan...
Sorry if I interrupt. .....
Just walking away...... hehehehe.
You ain't an ordinary woman to me,
You are "THE SEXY THING" a "A miracle longed for"
Don't say I didn't warn you!Sorry if I interrupt. .....
Just walking away...... hehehehe.
Don't say I didn't warn you!
Mhhh, Roho ya Malaika hapana mkuu.Hahaha mi haya maneno yako ndo yananchekesha[emoji23][emoji23][emoji23]eti likatuni
Kupendwa na watoto ni raha,utakua una karoho ka malaika
Nina huo mpango sema sijatulia.Fungua nusery school upige pesa.
Hahaha kabisa!!!Unakuwa mdogo wake MIKE MOUSE alafu hujui..![emoji125][emoji125][emoji232][emoji213][emoji193]
You ain't an ordinary woman to me,
You are "THE SEXY THING" a "A miracle longed for"
That song got into you eeh ???I see the miracles..... sexy thing hahahahhahahahaaa
Just singing.
That song got into you eeh ???
Hahahahaha
Basi kids wanacommunicate ktk utoto wako thru yo face...una hiyo hali badoMama anasema mimi peke yangu ndiyo sijamsumbua kabisa,
Nilikuwa napendwa sana na watu na nilikuwa ni mtoto asiyechukia kirahisi japo nina Mood sana. (Sijui kama kweli)
walikuwa wanapenda kuficha vitu kwasababu watu wakiomba au waje kuazima nilikuwa sijui kuwanyima.
Nilivyokuwa kama miaka 6 hivi nilikuwa naongea sanaaaa kama cherehani.....
Niendeleee ????
Okaaay,Basi kids wanacommunicate ktk utoto wako thru yo face...una hiyo hali bado
Paji la uso nalo limeficha mengi hasa kwa watoto..kuna wengine wakiwaangalia watoto hali inakua mbayaOkaaay,
Sikuwahi jua hili mkuu.
π π π π π π π πWasalaam.
Kumekuwa na kawaida sana kwamba watoto wadogo wakiniona wananiangalia sanaaaaa.
Halafu baadae wanaanza kucheka kweli kweli. Hadi wazazi wao wanaanza kushangaa maana huwa hawachekagi hivyo sana. Siku nyingine nimekaa sehemu naingia tu nkatoto fulani kakike kamekuja kukaa karibu yangu kananiangalia sana usoni, baadae nikakapa simu yangu kakaanza kucheza Game ya Temple Run. Mama yake akaja pale kuniomba radhi na kuanza kukaraipia kwanini kanaazima simu za watu kasiowajua. Wale majirani zangu wakasema walihisi labda ni katoto kangu hivi. Nilimwambia mama yake mimi sina shida acheze tu, tukakaa nako pale kakacheza mpaka simu ikakata chaji. Kakaanza kunipigisha stori yani tumeongea nako hadi kakalala nikakabeba. Ile naondoka wacha kaanze kunililia ova kananijua yani.
Mara nyingi watoto huwa wanaanzanga kuniongelesha na kunizoea hadi nashangaa sana.
Sasa juzi nidyo nimeishiwa na nguvu, nimekaa kwenye mstari wa hospitali nikaona kajamaa fulani kana kama mwaka moja hivi. Yaani kadogo balaa (Andunje) kakamuacha maza wake kakanifuata pale nilipokuwa nimekaa, kakaniangalia kwa muda mrefu kweli halafu baadae kakaanza kucheka kama mtu mzima. Kalicheka hadi kanakaa chini, watu pale hawana mbavu wanaanza kuniangalia mimi hadi nkajistukia yani. Hii sii mara ya kwanza yaani sijui kuna nini kati yangu mimi na hivi vijamaa.
Nikiweka sura ya ukali ili kuvifukuza nidyo kabisaa vinazidi kucheka,
Yaani hata niwe mkali vipi vyenyewe hivyo mwilini. Mara kinivute sharubu, mara kinivue miwani.
Hiki kiko na andazi lake kinataka kunilisha na mimi yaani vurugu ova vinanijua atiii.
Yaani sijuia vinaniona mimi nimekaa kama likatuni fulani.