Povu lote hilo la nini? Kinondoni unaiskia tu sio? Tatizo lako moja tu ni lack of exposure. Unasimuliwa tu na dada yako. Watu unaowaita slow ndio hao wanalisha nchi yako. Nyie mnaojifanya fast mmefanya nini ktk nchi yenu!? Mbona njaa kutwa kucha?Unataab wewe Annael! Mawazo yako huenda masafa mafupi! Unafikiri Mkenya akikaa Mathare atalingashwa na Mbongo anayekaa huko kinondoni? Wakenya ni watu waliopevuka kitambo sio kama huko Bongo! Mr sister teaches in Dar lakini anashangaa mlivyo polepole na msioelewa mambo mengi kwa haraka! Sio lazima nikuambie Naishi wapi Nairobi, Maadam unaniona hapa JF kila wakati nikipost na si kwa phone app inafaa kukuonyesha kwamba hata Mathare niko connected and online always kutumia tarakilishi! Na kama unavyosema mimi nikaa Mathare na ninaweza kutumia vitu kama hivyo maanake Mathare inamaisha mazuri sio kama huko Dar! Hebu unda uzi wa Mathare vs Dar-es Salaam!
Kabla ya uzi huo wa Mathare na Dar kuanza, wacha nikupe taswira ya wakenya huku Nairobi ndio ujue haifai kujilinganisha na sisi hata siku moja!! Ukiwa unapingamizi toa dhibitisho la picha!
Dj Stylez Code Red
hahaha..the video above tells it all....KISUMU=DAR..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kisumu ni kata moja u dar wewe nyang'au usifananishe dar2ba porini
Kwa sababu unataka kujifurahisha, basi jifurahishe. Lakini ndio mnazidi kuweka uchi vichwa vyenu jinsi vilivyo empty.hahaha..the video above tells it all....KISUMU=DAR..
Umeona sasa ulivyo boya?Unataab wewe Annael! Mawazo yako huenda masafa mafupi! Unafikiri Mkenya akikaa Mathare atalingashwa na Mbongo anayekaa huko kinondoni? Wakenya ni watu waliopevuka kitambo sio kama huko Bongo! Mr sister teaches in Dar lakini anashangaa mlivyo polepole na msioelewa mambo mengi kwa haraka! Sio lazima nikuambie Naishi wapi Nairobi, Maadam unaniona hapa JF kila wakati nikipost na si kwa phone app inafaa kukuonyesha kwamba hata Mathare niko connected and online always kutumia tarakilishi! Na kama unavyosema mimi nikaa Mathare na ninaweza kutumia vitu kama hivyo maanake Mathare inamaisha mazuri sio kama huko Dar! Hebu unda uzi wa Mathare vs Dar-es Salaam!
Kabla ya uzi huo wa Mathare na Dar kuanza, wacha nikupe taswira ya wakenya huku Nairobi ndio ujue haifai kujilinganisha na sisi hata siku moja!! Ukiwa unapingamizi toa dhibitisho la picha!
Dj Stylez Code Red
Mathare huko kwenye flying toilets hakufanani na popote duniani, labda kuzimu.Haiya leta uzi wa Mathare na Dar twende!!
Vipi humo biashara inaenda vizuri kweli? Maana kwenye video yako sijaona wateja kama yalivyo maduka ya pale aggrey st.China plaza daresalam
Muiweke Tanzania section not Kenya News section "Hatutajinadi"wakenya kwa kujinadi bwana kwani kinawauma nn juu ya iyo china plaza
Unataab wewe Annael! Mawazo yako huenda masafa mafupi! Unafikiri Mkenya akikaa Mathare atalingashwa na Mbongo anayekaa huko kinondoni? Wakenya ni watu waliopevuka kitambo sio kama huko Bongo! Mr sister teaches in Dar lakini anashangaa mlivyo polepole na msioelewa mambo mengi kwa haraka! Sio lazima nikuambie Naishi wapi Nairobi, Maadam unaniona hapa JF kila wakati nikipost na si kwa phone app inafaa kukuonyesha kwamba hata Mathare niko connected and online always kutumia tarakilishi! Na kama unavyosema mimi nikaa Mathare na ninaweza kutumia vitu kama hivyo maanake Mathare inamaisha mazuri sio kama huko Dar! Hebu unda uzi wa Mathare vs Dar-es Salaam!
Kabla ya uzi huo wa Mathare na Dar kuanza, wacha nikupe taswira ya wakenya huku Nairobi ndio ujue haifai kujilinganisha na sisi hata siku moja!! Ukiwa unapingamizi toa dhibitisho la picha!
Dj Stylez Code Red
UmekoseaDAR looks more like KISUMU CITY...
Haiya hii ni Dar? Like seriously! The tower might be ok! But the surrounding buildings man! what? I now have a clear view of what Dar is!
Haiya hii ni Dar? Like seriously! The tower might be ok! But the surrounding buildings man! what? I now have a clear view of what Dar is!
Your very low upstairs.
TRUEMathare huko kwenye flying toilets hakufanani na popote duniani, labda kuzimu.
Mathare is a hellhole!
Your very low upstairs.
Nyang'au wapo apa kujidanganya kwao ni London [emoji28][emoji28] daaah me hua nacheka sana ....
Nimetuma video muone wapi pakufanyia shopping sio mall mlizozizoea pekee sehemu zipo nyingi sahivi....ajabu watu wameanza kujikita kukosoa wakati almost 95% ya video inaonyesha bidhaa na maduka ndani ya jengo, kama haupendi vitu kama ivyo unanyamaza tu sio lazima kila kitu ukomemti mashudu yako kutuonyesha ni jinsi gani shule yako haikusaidii kufikiri kabla ya kuongea
The thread is not about getting rid of skin or ugly building in the city....it's about China plaza where to do shopping I think for those who are concerned of what thread is all about we could not reach this kind of conversation right now, argument with no head or tailHakuna mtu amesema kwetu ni London....We have our dark sides which we work hard to change on a daily basis.I wish we would all look back to the not so nice things in our societies and try to change for the better rather than showing one, two, three skyscrapers.