Watch "CHINA PLAZA - Dar es Salaam - Tanzania" on YouTube

Watch "CHINA PLAZA - Dar es Salaam - Tanzania" on YouTube

Kisumu ni ward moja tu ya dar
 
Unataab wewe Annael! Mawazo yako huenda masafa mafupi! Unafikiri Mkenya akikaa Mathare atalingashwa na Mbongo anayekaa huko kinondoni? Wakenya ni watu waliopevuka kitambo sio kama huko Bongo! Mr sister teaches in Dar lakini anashangaa mlivyo polepole na msioelewa mambo mengi kwa haraka! Sio lazima nikuambie Naishi wapi Nairobi, Maadam unaniona hapa JF kila wakati nikipost na si kwa phone app inafaa kukuonyesha kwamba hata Mathare niko connected and online always kutumia tarakilishi! Na kama unavyosema mimi nikaa Mathare na ninaweza kutumia vitu kama hivyo maanake Mathare inamaisha mazuri sio kama huko Dar! Hebu unda uzi wa Mathare vs Dar-es Salaam!

Kabla ya uzi huo wa Mathare na Dar kuanza, wacha nikupe taswira ya wakenya huku Nairobi ndio ujue haifai kujilinganisha na sisi hata siku moja!! Ukiwa unapingamizi toa dhibitisho la picha!
13549341_1725502887701637_157363717_n.jpg


13414373_1091164567609602_955651914_n.jpg


13532007_1023482427729931_1948455092_n.jpg


ClURx21VEAA_j_t.jpg


ClTqiK2WIAAfccl.jpg


motorcycle-rider-14542986.jpg
Dj Stylez Code Red
Povu lote hilo la nini? Kinondoni unaiskia tu sio? Tatizo lako moja tu ni lack of exposure. Unasimuliwa tu na dada yako. Watu unaowaita slow ndio hao wanalisha nchi yako. Nyie mnaojifanya fast mmefanya nini ktk nchi yenu!? Mbona njaa kutwa kucha?

Wewe unadhani unajivunia kitu gani kwenu tuone hapa TZ kipya? Ndio maana ninakuambia kuwa unasumbuliwa na ushamba uliochangnyikana na ulimbukeni.
Ningekuwa sijawahi kuishi kenya unge sema sana. Kenya vyakula vya kawaida hapa TZ kwenu ni luxury.

Kenya ni cheap labors Africa nzima. Kazi kusifia majengo ya wanaume wenzako toka somalia na india. Wakeup kenyans acheni kutumika.
 
hahaha..the video above tells it all....KISUMU=DAR..
Kwa sababu unataka kujifurahisha, basi jifurahishe. Lakini ndio mnazidi kuweka uchi vichwa vyenu jinsi vilivyo empty.
 
Unataab wewe Annael! Mawazo yako huenda masafa mafupi! Unafikiri Mkenya akikaa Mathare atalingashwa na Mbongo anayekaa huko kinondoni? Wakenya ni watu waliopevuka kitambo sio kama huko Bongo! Mr sister teaches in Dar lakini anashangaa mlivyo polepole na msioelewa mambo mengi kwa haraka! Sio lazima nikuambie Naishi wapi Nairobi, Maadam unaniona hapa JF kila wakati nikipost na si kwa phone app inafaa kukuonyesha kwamba hata Mathare niko connected and online always kutumia tarakilishi! Na kama unavyosema mimi nikaa Mathare na ninaweza kutumia vitu kama hivyo maanake Mathare inamaisha mazuri sio kama huko Dar! Hebu unda uzi wa Mathare vs Dar-es Salaam!

Kabla ya uzi huo wa Mathare na Dar kuanza, wacha nikupe taswira ya wakenya huku Nairobi ndio ujue haifai kujilinganisha na sisi hata siku moja!! Ukiwa unapingamizi toa dhibitisho la picha!
13549341_1725502887701637_157363717_n.jpg


13414373_1091164567609602_955651914_n.jpg


13532007_1023482427729931_1948455092_n.jpg


ClURx21VEAA_j_t.jpg


ClTqiK2WIAAfccl.jpg


motorcycle-rider-14542986.jpg
Dj Stylez Code Red
Umeona sasa ulivyo boya?
Wewe jamaa ni mshamba kinoma, sasa haya mapicha unataka kuthibitisha nini?
 
Mathare huko kwenye flying toilets hakufanani na popote duniani, labda kuzimu.
Mathare is a hellhole!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mathare jehanam
 

China plaza daresalam

Vipi humo biashara inaenda vizuri kweli? Maana kwenye video yako sijaona wateja kama yalivyo maduka ya pale aggrey st.
Mara ya mwisho niliingia humo mwezi July, palikua hapajachanganya.
 
Unataab wewe Annael! Mawazo yako huenda masafa mafupi! Unafikiri Mkenya akikaa Mathare atalingashwa na Mbongo anayekaa huko kinondoni? Wakenya ni watu waliopevuka kitambo sio kama huko Bongo! Mr sister teaches in Dar lakini anashangaa mlivyo polepole na msioelewa mambo mengi kwa haraka! Sio lazima nikuambie Naishi wapi Nairobi, Maadam unaniona hapa JF kila wakati nikipost na si kwa phone app inafaa kukuonyesha kwamba hata Mathare niko connected and online always kutumia tarakilishi! Na kama unavyosema mimi nikaa Mathare na ninaweza kutumia vitu kama hivyo maanake Mathare inamaisha mazuri sio kama huko Dar! Hebu unda uzi wa Mathare vs Dar-es Salaam!

Kabla ya uzi huo wa Mathare na Dar kuanza, wacha nikupe taswira ya wakenya huku Nairobi ndio ujue haifai kujilinganisha na sisi hata siku moja!! Ukiwa unapingamizi toa dhibitisho la picha!
13549341_1725502887701637_157363717_n.jpg


13414373_1091164567609602_955651914_n.jpg


13532007_1023482427729931_1948455092_n.jpg


ClURx21VEAA_j_t.jpg


ClTqiK2WIAAfccl.jpg


motorcycle-rider-14542986.jpg
Dj Stylez Code Red

Ficha ujinga wako
Watoto hawachezei hayo

Watoto wanatakiwa kupata Raha hizi

Fuatilia mwanzo mwisho
Hii ipo Dar pekee East Africa
 
Haiya hii ni Dar? Like seriously! The tower might be ok! But the surrounding buildings man! what? I now have a clear view of what Dar is!
Haiya hii ni Dar? Like seriously! The tower might be ok! But the surrounding buildings man! what? I now have a clear view of what Dar is!

Mimi huwa najiuliza sana
Hivi nyie wakenya mliopo jf ni toleo gani la wakenya !!!?
Mbona wajinga sana kiivyo!!?

Hebu itazame vizuri video hiyo
Kwambaali kuna majengo marefu yanaoneka
Inamaanisha jengo hilo lipo nje kidogo
Ungeuliza linapatikana sehemu gani
Ni city center au la!!

Ndio maana tunawaambia Da ni kubwa kuliko
Tazama video hii


Kuna majengo hayaonekani hapo
Maana hayapo katikati ya jiji
Mfano hili

10499042_249363235273729_652332309_n.jpg

IMG_20140601_155738.jpg

Au hili
PROPOSED-LAPF-ACCOMMODATION-BUILDING-DAR-ES-SALAAM.jpg
 
Nyang'au wapo apa kujidanganya kwao ni London [emoji28][emoji28] daaah me hua nacheka sana ....
Nimetuma video muone wapi pakufanyia shopping sio mall mlizozizoea pekee sehemu zipo nyingi sahivi....ajabu watu wameanza kujikita kukosoa wakati almost 95% ya video inaonyesha bidhaa na maduka ndani ya jengo, kama haupendi vitu kama ivyo unanyamaza tu sio lazima kila kitu ukomemti mashudu yako kutuonyesha ni jinsi gani shule yako haikusaidii kufikiri kabla ya kuongea
 
Nyang'au wapo apa kujidanganya kwao ni London [emoji28][emoji28] daaah me hua nacheka sana ....
Nimetuma video muone wapi pakufanyia shopping sio mall mlizozizoea pekee sehemu zipo nyingi sahivi....ajabu watu wameanza kujikita kukosoa wakati almost 95% ya video inaonyesha bidhaa na maduka ndani ya jengo, kama haupendi vitu kama ivyo unanyamaza tu sio lazima kila kitu ukomemti mashudu yako kutuonyesha ni jinsi gani shule yako haikusaidii kufikiri kabla ya kuongea

Hakuna mtu amesema kwetu ni London....We have our dark sides which we work hard to change on a daily basis.I wish we would all look back to the not so nice things in our societies and try to change for the better rather than showing one, two, three skyscrapers.
 
Hakuna mtu amesema kwetu ni London....We have our dark sides which we work hard to change on a daily basis.I wish we would all look back to the not so nice things in our societies and try to change for the better rather than showing one, two, three skyscrapers.
The thread is not about getting rid of skin or ugly building in the city....it's about China plaza where to do shopping I think for those who are concerned of what thread is all about we could not reach this kind of conversation right now, argument with no head or tail
 
Back
Top Bottom