Waongeze mabasi Basi Kama wanatengeneza hela.Hahaha, naona unaokoteza habari za hapa na pale just to make it look bad, but ukweli ni kuwa 200K wanasafiri humo per day,
Na faida inayotengenezwa na hayo mabasi law Mwezi ni Sawa na Mapato ya SGR ya kenya Mwaka mzima, mimi nasafiri na hizi gari mara nyingi na ni very comfortable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waongeze mabasi Basi Kama wanatengeneza hela.
Wewe jamaa hizi picha huwa unazitoa wapi ?.🤠 , Hilo jambo sio zuri lakin limenifurahisha.
we fala unatoka wapi? Nina uhakika chuo hujafika Wakenya hawahawa corrupt dudes ndo unawasifia! Wafuta njaa kwao kwanza! Ama hamia Kenya! 2020 unaleta ngonjera za Wakenya in hospitality industry!
Hahaha, naona unaokoteza habari za hapa na pale just to make it look bad, but ukweli ni kuwa 200K wanasafiri humo per day,
Na faida inayotengenezwa na hayo mabasi law Mwezi ni Sawa na Mapato ya SGR ya kenya Mwaka mzima, mimi nasafiri na hizi gari mara nyingi na ni very comfortable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa hizi picha huwa unazitoa wapi ?.🤠 , Hilo jambo sio zuri lakin limenifurahisha.
Huo ndio utamu wa mwendokasiMbona zipo maelfu ya picha kama hizi, wala huhitaji kuhangaika kutafuta, ila hii ya mwanaume kuvizia mtoto imeniuma sana, sio jambo nzuri kwa kweli, inapaswa watoto wa kibinti watengewe sehemu...
To be honest, the idea was brilliant na ukizingatia mji ulivyojengwa ni rahisi sana kwa project ya aina hii, the problem ni kuwa kampuni iliyopewa kandarasi ya kuendesha huu mradi ilikuwa 'pasua kichwa', labda kutakuwa na mabadiliko kwa kuwa sasa wanataka kutoa kandarasi kwa wengine. Maisha yangu yote hapa Dar nilipanda mwendo kasi siku moja tu na sitamani tena, nilibanwa mbavu kidogo waniue...Mimi nimeleta habari za Watanzania wenyewe, halafu ni nyingi sana yaani nikiamua kuendelea kuzileta nitajaza server za watu bure na ukizingatia mradi unazidi kuzorota.
To be honest, the idea was brilliant na ukizingatia mji ulivyojengwa ni rahisi sana kwa project ya aina hii, the problem ni kuwa kampuni iliyopewa kandarasi ya kuendesha huu mradi ilikuwa 'pasua kichwa', labda kutakuwa na mabadiliko kwa kuwa sasa wanataka kutoa kandarasi kwa wengine. Maisha yangu yote hapa Dar nilipanda mwendo kasi siku moja tu na sitamani tena, nilibanwa mbavu kidogo waniue...
Naenda kupanda mwendokasi hapo kimara naenda posta, will share the pics
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Kimara utayapata maana ndio maeneo ya mwanzo mwanzo ila jongea humo maeneo ya kati uone balaa yake, usikose kupiga picha za stend mnazopita watu wamezubaa hawajui cha kufanya, na pia ingekua poa uzitumie mida ya asubuhi au jioni wakati mnasongamana mkirudi au kutoka uswazi.
Akhaaaa aseee! Hao watu noma. Ila siku hizi wameacha huo ujinga baada ya kuona Matatizo tu now wanabanana ila sio kivile.
Naomba mgonjwa wa corona asije ingia kwenye bus hizo hasa jioni ruti za Gerezani to Kimara mbona tunazika.
MK254 Kuna wakati management inatuharibia yaani basi 20 ziko parking tu 2 zinabeba?
Huuu ujinga.
Hata hivyo mradi ukitulia na kuendeshwa kwa ufanisi na kujitoa mbona hata wazungu wanakuja kuiga.
Maana una pesa ule. Mzee fikiria hao watu wote wamelipa Tsh 650, hapo tu wakipelekwa mara moja na wengine waje tutatengeneza ngapi kwa siku.
Uzembe tu